Posho zimewaumiza wengi, hata wabunge wa udsm zimewakamata!

Posho zimewaumiza wengi, hata wabunge wa udsm zimewakamata!

Calnde

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2008
Posts
1,373
Reaction score
278
Mzimu posho ni hatari. Wabunge wanaohudhuria mkutano kwa kusaini huwa wanalipwa 10,000/=. Sasa juzi wapo ambao hawakuingia kikao, lakini waliomba wasainiwe. Ubaya listi hiyo imetumika kuwafukuza wote ambao walisaini, kwamba walipisha mgomo, kwa authority ya signature zao. Elfu kumi hiyo.
 
Back
Top Bottom