Mmakonde anapenda ndmkUna mtaja posh kama sisi tunamfahamu mkuu?Watu wa dasalama buana.Tupia picha and make shua tako linaonekana maana najua mmakonde anapenda tandamu.
Kwahiyo Mkuu picha ndo imeshindikana kabisa?Mwanadada mrembo Poshy Queen ameandika maneno yanayoonekana ni kama kumkana aliewahi kuwa Mpenzi wake Dj Seven.
View attachment 2880299
Poshy amedai kuwa Seven alikuwa ni rafiki yake na hakuwahi kuwa Mpenzi wake kama jinsi watu wanavyosema.
Poshy kwasasa ni Mpenzi wa Mwanamuziki Harmonize, ambae alikuwa ni Boss wa Dj Seven.
Written by Mjanja M1
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu wanaume tukionaga info kama hizi tunaangalia tunapita kimya kimya hua hatuendi kusema kwingn
Au uongo mzee?[emoji23][emoji23]
Hakiiiika. Wanajuana wenyewe