Kichwa Ze Don
Senior Member
- Jun 7, 2017
- 198
- 321
Chuuu lekaga tuka nkoiKuwa makini humu watu hawana bhudugu bho gugulu na nkono, mbilizi ilendelile hiyene iyagulya mbiyu. Gubisa mhulu na bhayanda ugusanga jajukulagwa.
OlemholaKuwa makini humu watu hawana bhudugu bho gugulu na nkono, mbilizi ilendelile hiyene iyagulya mbiyu. Gubisa mhulu na bhayanda ugusanga jajukulagwa.
Mie kikongwe hunitaki? Sijazeeka maini lakini😂haya.
wakija wengine wazee wazee unishtue
Inamaanisha TRAB ya kuchoma na TRAT ya baridiPostv + inamaanisha nini?
Huenda ikawa ni wewe...ulipima lini mara ya mwisho!?Atakuja mwenzko mwenye hali kama yako
Tuweke wazi hapa Kwanza. Baba wa mwanao Yuko wapi na anashiriki vipi juu ya malezi ya mwanae. Kuwa +ve sio issue Bali commitment.Helo diaz,
Mama wa 32yr, 1 kid, government worker & mjasiriamali, sukuma & Christian.
Natafuta mwanaume aliye serious na maisha mwenye hali kama hiyo, ambae yupo interested please come.
Nyie upweke unatesa aisee, uwiii!
Labda atakuwa kashadedi. Acha woga kijana kama umekidhi vigezo na masharti, jimbo liko wazi.Tuweke wazi hapa Kwanza . Baba wa mwanao Yuko wapi na anashiriki vipi juu ya malezi ya mwanae. Kuwa +ve sio issue Bali commitment.
Positive ya nini? HIV positive ama nini? Wengine hawajaelewa?
Ukishindwana naunga mimi mkuu.Nishaunga folen pm[emoji846][emoji846][emoji846] Wakuu andaeni michango kabisa mambo yakijipa mwezi wa 12 tunamaliza kazi
Mwenyewe nimechoka kuwa bachela dah[emoji58][emoji58][emoji58]
Watu wapo moto, we unasubiria 2025Kila la kheri.
😂 Ebu na wewe niacheWatu wapo moto, we unasubiria 2025
Mkuu sidhani kama kuna kushindwa hapa[emoji16][emoji16][emoji16] lazima mwaka huu nioeUkishindwana naunga mimi mkuu.