John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Wakuu habari,
Nimeanzisha huu uzi nikitambua kuwa wapo ambao wameshafanyiwa usahili katika nafasi hii ya msimamizi wa TEHAMA katika ajira za muda za sensa zilizotangazwa.
Hivyo naomba msikunje mioyo wandugu, Tuambizane yaliyojiri huko!
Ahsanteni
Nimeanzisha huu uzi nikitambua kuwa wapo ambao wameshafanyiwa usahili katika nafasi hii ya msimamizi wa TEHAMA katika ajira za muda za sensa zilizotangazwa.
Hivyo naomba msikunje mioyo wandugu, Tuambizane yaliyojiri huko!
Ahsanteni