Mbnative
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 332
- 77
wadau naomba ushauri,nipo katika mazingira ambayo naweza soma chuo kikuu huria tu(OUT)..pia nataka nisomo kozi kati ya hizo hapo juu kwa ngazi ya postgraduate diploma,lkn sijui ni ipi itakayo niwezesha kusoma easily ukizingatia sina mtu wa kudiscuss nae.
pia urahisi wa kupata materials..nia yangu ni kuongeza cheti tu..ipi kati ya hizo ipo vizuri?
pia urahisi wa kupata materials..nia yangu ni kuongeza cheti tu..ipi kati ya hizo ipo vizuri?