wadau naomba ushauri,nipo katika mazingira ambayo naweza soma chuo kikuu huria tu(OUT)..pia nataka nisomo kozi kati ya hizo hapo juu kwa ngazi ya postgraduate diploma,lkn sijui ni ipi itakayo niwezesha kusoma easily ukizingatia sina mtu wa kudiscuss nae.
pia urahisi wa kupata materials..nia yangu ni kuongeza cheti tu..ipi kati ya hizo ipo vizuri?
wadau naomba ushauri,nipo katika mazingira ambayo naweza soma chuo kikuu huria tu(OUT)..pia nataka nisomo kozi kati ya hizo hapo juu kwa ngazi ya postgraduate diploma,lkn sijui ni ipi itakayo niwezesha kusoma easily ukizingatia sina mtu wa kudiscuss nae.
pia urahisi wa kupata materials..nia yangu ni kuongeza cheti tu..ipi kati ya hizo ipo vizuri?
Mkuu, ningeshauri ila hapo kwenye "Red and Underline" binafsi pamenikatisha tamaa! Ngoja Wajuzi na Wazoefu waje!
mkuu lzm niseme ukweli bse nataka niongeze maarifa...sio kwenda kusaka ajira kwa kipindi hiki.nalazimika kusoma hayo masomo sababu sitaki kukaa idle.nipo ktk mazingira ambayo nafanya kazi kwa muda mfupi sana,muda mwingi unapotea bure tu,so ningepata ushauri kozi ya kusoma kati ya hizo ingenisaidia kuwa busy kiana..
nafanya kazi mara tatu kwa wiki tu...kila siku masaa saba..
mkuu lzm niseme ukweli bse nataka niongeze maarifa...sio kwenda kusaka ajira kwa kipindi hiki.nalazimika kusoma hayo masomo sababu sitaki kukaa idle.nipo ktk mazingira ambayo nafanya kazi kwa muda mfupi sana,muda mwingi unapotea bure tu,so ningepata ushauri kozi ya kusoma kati ya hizo ingenisaidia kuwa busy kiana..
nafanya kazi mara tatu kwa wiki tu...kila siku masaa saba..
mkuu lzm niseme ukweli bse nataka niongeze maarifa...sio kwenda kusaka ajira kwa kipindi hiki.nalazimika kusoma hayo masomo sababu sitaki kukaa idle.nipo ktk mazingira ambayo nafanya kazi kwa muda mfupi sana,muda mwingi unapotea bure tu,so ningepata ushauri kozi ya kusoma kati ya hizo ingenisaidia kuwa busy kiana..
nafanya kazi mara tatu kwa wiki tu...kila siku masaa saba..
wadau naomba ushauri,nipo katika mazingira ambayo naweza soma chuo kikuu huria tu(OUT)..pia nataka nisomo kozi kati ya hizo hapo juu kwa ngazi ya postgraduate diploma,lkn sijui ni ipi itakayo niwezesha kusoma easily ukizingatia sina mtu wa kudiscuss nae.
pia urahisi wa kupata materials..nia yangu ni kuongeza cheti tu..ipi kati ya hizo ipo vizuri?