Naombeni msaada wa kujuzwa kama mtu akisoma postgraduate diploma ya education, anaweza kupangiwa kituo cha kazi katika shule za serikali mara baada ya kuhitimu masomo yake? Kama wanavyopangiwa wa degree, diploma na wengine.Na kama wanapangiwa, ni taratibu zipi zakufuata ili apangiwe. Natanguliza shukrani zangu kwenu.