N NYAGI DRY JF-Expert Member Joined Sep 10, 2011 Posts 379 Reaction score 165 Oct 10, 2011 #1 jaman wadau mwenye info za kutosha kuhusu pgd ya monitoring and evaluation pale coet ,je wana enroll mwez wa ngap? Na ada yao ni bei gan? Na wasilisha wakuu!
jaman wadau mwenye info za kutosha kuhusu pgd ya monitoring and evaluation pale coet ,je wana enroll mwez wa ngap? Na ada yao ni bei gan? Na wasilisha wakuu!
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Oct 10, 2011 #2 umecheki kwenye website? aisee,sikujua hii makitu inapatikana,unistue na mie basi (tukitoka class ntakua nakupa ofa ya nyagi dry kila furahi dei eeh)
umecheki kwenye website? aisee,sikujua hii makitu inapatikana,unistue na mie basi (tukitoka class ntakua nakupa ofa ya nyagi dry kila furahi dei eeh)
N NYAGI DRY JF-Expert Member Joined Sep 10, 2011 Posts 379 Reaction score 165 Oct 10, 2011 Thread starter #3 King'asti said: umecheki kwenye website? aisee,sikujua hii makitu inapatikana,unistue na mie basi (tukitoka class ntakua nakupa ofa ya nyagi dry kila furahi dei eeh) Click to expand... Nimechek king'ast,ila cjaona info zozote up to nw! Ebwnae mwendo wa nyagi 2 hahaha king'ast bwana!sawa
King'asti said: umecheki kwenye website? aisee,sikujua hii makitu inapatikana,unistue na mie basi (tukitoka class ntakua nakupa ofa ya nyagi dry kila furahi dei eeh) Click to expand... Nimechek king'ast,ila cjaona info zozote up to nw! Ebwnae mwendo wa nyagi 2 hahaha king'ast bwana!sawa
K kulwadoto Member Joined Oct 10, 2011 Posts 5 Reaction score 1 Oct 10, 2011 #4 Hivi pgd na advance diploma bado zinatambulika kwenye soko la ajira kwa sasa?
N NYAGI DRY JF-Expert Member Joined Sep 10, 2011 Posts 379 Reaction score 165 Oct 10, 2011 Thread starter #5 pgd ndio zinatambulika!ila advanced dip czan!
Leonard Robert JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 11,125 Reaction score 7,373 Oct 10, 2011 #6 kulwadoto said: Hivi pgd na advance diploma bado zinatambulika kwenye soko la ajira kwa sasa? Click to expand... atimaye umezeeka ubongo.baada ya kusumbua kwa muda mlefu.
kulwadoto said: Hivi pgd na advance diploma bado zinatambulika kwenye soko la ajira kwa sasa? Click to expand... atimaye umezeeka ubongo.baada ya kusumbua kwa muda mlefu.
S sixmund6 Senior Member Joined Oct 11, 2011 Posts 101 Reaction score 2 Oct 11, 2011 #7 hivi pgd ndio inakuaje iyo?