Comfucious pedagogy
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 211
- 39
Hata sisi enzi zetu tulidhani tunaochukua kozi za Sayansi - Uhandisi UDSM nk ndiyo watakuwa na maisha mazuri. Kinyume chake Wanaosomea Sociology Sinza Shekilango na wale wa CBE/IFM ambao tuliwadharau ndiyo wamekuja kuwa Watawala wetu huku Maofisini, wanakula posho za vikao kila siku na kutuamulia vitu kwa niaba yetu.ukifika chuoni enzi hizo,watu wali wa dis value watu wanaofanya course ya education matokeo yake wamemaliza vyuo wamerudi kuomba PGDE.
Kusoma PGDE bado si suluhisho la kupata ajira kwa sasa,
Walimu wengi wa Diploma na Degree hawakupangiwa ajira mwaka huu na mpaka sasa hakuna tamko lolote lililotolewa na Serikali.
Kingine,hata walimu walopata ajira mwaka hawajalipwa mishahara yao mpaka sasa ikiwemo na pesa za kujikimu na nauli kwa baadhi ya Halmashauri.
Swali la msingi,
Je,kama walimu waliogharimiwa na serikali maisha yote ya chuo Diploma na Degree hasa hawa wa Diploma yaani professional teachers hawajapata ajira,vipi ww mwenzangu ambaye si mwl by professional???
Tafakari na chukua hatua
Mkuu,vyuo vya ualimu kwa sasa vinaamishiwa Nacte...havitakuwa tena chini ya necta na wizara....so utaratibu mpya ni kwamba wanaajiri kuanzia post graduate ya education kuendelea yani haitakuwa kama mwanzo walichukua BED only,kwa ss ata BAed wanachukua na degree yoyote ilimradi ulipiga post ya education..ata salary yao ni kubwa nowadays tofauti na wazalendo wa secondary
Mkuu,vyuo vya ualimu kwa sasa vinaamishiwa Nacte...havitakuwa tena chini ya necta na wizara....so utaratibu mpya ni kwamba wanaajiri kuanzia post graduate ya education kuendelea yani haitakuwa kama mwanzo walichukua BED only,kwa ss ata BAed wanachukua na degree yoyote ilimradi ulipiga post ya education..ata salary yao ni kubwa nowadays tofauti na wazalendo wa secondary
huna unachokijua acha blabla ,weka circular