Wadau nimetafuta kazi mpaka nimechoka sasa, naombeni mnipe mwanga kidgo kuhusu post graduate ya Ualimu.
vipi hawa huwa wanapangiwa kama walimu wengine? kuna waliopangiwa kwa mwaka huu wa 2015?
ni chuo kipi wanatoa post graduate ya ualimu wa sayansi? mfano Maths n.k
mwenye mwangaza naombeni anijuze
Wadau nimetafuta kazi mpaka nimechoka sasa, naombeni mnipe mwanga kidgo kuhusu post graduate ya Ualimu.
vipi hawa huwa wanapangiwa kama walimu wengine? kuna waliopangiwa kwa mwaka huu wa 2015?
ni chuo kipi wanatoa post graduate ya ualimu wa sayansi? mfano Maths n.k
mwenye mwangaza naombeni anijuze
Wadau nimetafuta kazi mpaka nimechoka sasa, naombeni mnipe mwanga kidgo kuhusu post graduate ya Ualimu.
vipi hawa huwa wanapangiwa kama walimu wengine? kuna waliopangiwa kwa mwaka huu wa 2015?
ni chuo kipi wanatoa post graduate ya ualimu wa sayansi? mfano Maths n.k
mwenye mwangaza naombeni anijuze