Post graduate ya ualimu

KORBOTO

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,848
Reaction score
2,446
Wadau nimetafuta kazi mpaka nimechoka sasa, naombeni mnipe mwanga kidgo kuhusu post graduate ya Ualimu.

vipi hawa huwa wanapangiwa kama walimu wengine? kuna waliopangiwa kwa mwaka huu wa 2015?
ni chuo kipi wanatoa post graduate ya ualimu wa sayansi? mfano Maths n.k

mwenye mwangaza naombeni anijuze
 

Nimesoma post graduate udom na nimepangiwa kituo cha kaz ....ondoa shaka nenda kasome UDOM
 
Udom ipo vzur kuna watu nawajua wamesoma hapo ila ni shule ngum kdogo inaitaji uvumilivu sana
 

Wapo na mifano ninayo ya kutosha, rafiki yangu kaajiliwa mwaka huu!
 
nenda kasome ndugu utapangiwa tuu...unaweza kwenda saut mtwara wanatoa kozi.. tumaini iringa nazani nao wanatoa pia cheki na vyuo vingine
 
Wapo na mifano ninayo ya kutosha, rafiki yangu kaajiliwa mwaka huu!

naomba nipatie contact zako au za rafiki yako for more infos.., you can PM me. please
 

Kwani umesoma nn Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…