Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
UKIWA FACEBOOK kuna mambo noma sana. MWANAMKE anajiita Cuttly beibz Pweeery Libs ameposti: "Uwiiiiiiiii" na ndani ya 5 minutes kuna 'like' 200 na 'comment' 140. Kwenye hizo komenti humo ndani masela wanagombea kucomment hadi wanaanzishiana bifu kinyama mpaka wanatukanana mama na dada zao!
MWANAUME mstaarabu anajiita Jastin anaposti: "Mchana Mwema Rafiki zangu, YESU awasimamie kwenye kazi zenu, Nawapenda sanaaa Rafiki zangu!" na ndani ya masaa 10 kuna 'like' 3 na 'comment 2. Comment zenyewe masela wanamponda, "Acha ufala wewe hapa sio Kanisani Unajifanya Mchungaaaaajiiiii!"
Buhahahahaha kwa namna hii kweli acha wanawake waringe tu. Facebook bwana! Ndio maana mimi, HATA KWENYE MAISHA HALISI, sishindani na mwanamke hata kidogo.
MWANAUME mstaarabu anajiita Jastin anaposti: "Mchana Mwema Rafiki zangu, YESU awasimamie kwenye kazi zenu, Nawapenda sanaaa Rafiki zangu!" na ndani ya masaa 10 kuna 'like' 3 na 'comment 2. Comment zenyewe masela wanamponda, "Acha ufala wewe hapa sio Kanisani Unajifanya Mchungaaaaajiiiii!"
Buhahahahaha kwa namna hii kweli acha wanawake waringe tu. Facebook bwana! Ndio maana mimi, HATA KWENYE MAISHA HALISI, sishindani na mwanamke hata kidogo.