mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,661
- 1,267
Kama alijenga sehemu ambayo haistahiki, ni lazima sheria zifuate mkondo wake bana...Nipo salama sana wana JF,katika post hii leo naona niitumie kwa kumpa pole yule mzee wa zeze(Top in Dar)kwa bomoa bomoa iliyomkumba na kumsababishia kuipoteza studio yake ya top band na uzio wa nyumba ambao ulijengwa kwa staili za falme za kiarabu,pole sana kwa hasara uliyoipata Mungu atakurejeshea!!
Ce nes pas possible!!Kama alijenga sehemu ambayo haistahiki, ni lazima sheria zifuate mkondo wake bana...
Huyu Mungu sasa atarejesha hadi visivyostahili!
By the way..POLE!
shimbika lwandaje nyontila silago!Ce nes pas possible!!
Ce nes pas possible!!
shimbika lwandaje nyontila silago!
Mbosi bondo dumba tuu!shimbika lwandaje nyontila silago!