Post za ajira ya ualimu

Ziltan

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
2,672
Reaction score
6,880
Nasikia wametangaza, mwenye taarifa zaidi tafadhali!
 
umesikia wapi mbona cc hatuja sikia?????????????????????
 
sijasikia kitu hicho na nimeangalia mtandao wa MOE hawajaweka chochote.
 
serikal yetu haina mpangilio mzuri wa ajira za walimu kwani mara kwa mara wamekua wakidai kuwa wataajiri walimu lakin inashangaza hawatangazi hata ajira zenyewe
 
sijui nilie, endeleeni kungoja, sisi ngoja tuendelee kutafuta kwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…