wamesema shule n mwez wa saba,sasa wanavyo chelewa kutoa hizo selection na post hawaon kama watasababisha wanafunz weng watachelewa kwenda shule kutokana na muda mdogo wa maandaliz,kama kununua vifaa vya shule,ada,na hata nauli na hela ya matumiz kwa wale watakao chaguliwa mbal .
au mnaonaje wadau?