Post za kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2014/2015

wamesema shule n mwez wa saba,sasa wanavyo chelewa kutoa hizo selection na post hawaon kama watasababisha wanafunz weng watachelewa kwenda shule kutokana na muda mdogo wa maandaliz,kama kununua vifaa vya shule,ada,na hata nauli na hela ya matumiz kwa wale watakao chaguliwa mbal .
au mnaonaje wadau?
 
na still week 3 wafungue wa advance waliofunga.na maandalizi hayawezi kufanyika ndani ya 2 week ya kuenda 4m 5.snura gvt yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…