Kwa nini orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu rekebishi kwa mwaka wa masomo 2014/2015 itoke monduli tc tu, na kuacha vijana wetu wakipigwa vumbi kitaa "huu ni umwinyi wa LOWASA".
Washaleta chenga vijana tufight mambo mengine otherwise tutauza bajia....!