Post za ualimu wa stashahada na cheti lini?

Post za ualimu wa stashahada na cheti lini?

TATA PANYA

Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
54
Reaction score
8
Jamani wanaJF napenda kuuliza kwa yeyote anayejua juu ya watakaochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu 2014/2015 Ln?
 
Ndio kwanza matokeo yenu yametoka. Pia wa Shahada hata matokeo yao hayajatoka vyuoni, pia wengine wafanye Sup kisha Graduation mwezi wa 11. HIVYO TEGEMEA KUANZIA JANUARY mwakani.
 
m2saidie basi wana jfm maana tumesubiri walisema kuwa watatuma kwenye web but hakuna ki2

sasa wana jf wakusaidie nini.?, kwani wenyewe ndio wanayo.! Kipi wakusaidie.! kuwa nasubira yakiwa tayari utayaona tu..
 
Back
Top Bottom