Postal bank

Postal bank

Kungekuwa na mbadala wa posta nadhani hawa jamaa wangekosa wateja kabisa maana wanachelewesha mizigo toka nje mpaka wanakera,wajitafakari na kuchukua hatua.
Kweli humu JF tupo watu wa kila aina, wewe nadhani hujaelewa Mada,
Kuna Bank ya Posta inayohusika na Miamala (Transactions)
v/s
Kuna Shirika la Posta linaloshughulika na Vifurushi

Alichomaanisha mleta mada na ulichojibu wewe ni tofauti kabisa
 
Ni haohao postal co operation
Kweli humu JF tupo watu wa kila aina, wewe nadhani hujaelewa Mada,
Kuna Bank ya Posta inayohusika na Miamala (Transactions)
v/s
Kuna Shirika la Posta linaloshughulika na Vifurushi

Alichomaanisha mleta mada na ulichojibu wewe ni tofauti kabisa
 
Kungekuwa na mbadala wa posta nadhani hawa jamaa wangekosa wateja kabisa maana wanachelewesha mizigo toka nje mpaka wanakera,wajitafakari na kuchukua hatua.
umechanganya madawa, OP anaongelea TPB na wewe unaongelea TPC
 
umechanganya madawa, OP anaongelea TPB na wewe unaongelea TPC
Kweli humu JF tupo watu wa kila aina, wewe nadhani hujaelewa Mada,
Kuna Bank ya Posta inayohusika na Miamala (Transactions)
v/s
Kuna Shirika la Posta linaloshughulika na Vifurushi

Alichomaanisha mleta mada na ulichojibu wewe ni tofauti kabisa
Nimefuta mkuu.
 
Back
Top Bottom