Hata udom wanatoa hyo program ila kwa gharama sijui wenye kujua wanakuja,ila kama ungeweza ungefika kule wakupe taratibu ila hyo ni kuingia mwakani tena mwaka huu wameshaingza
Ngoja waje Mkuu
Fulltime PGDE UdoM ada 2,920,000Naomba anayejua chuo gani Dodoma kinachotoa post graduate ya education aniambie na gharama yake,samahan msaada wana jf!