Nicky nicky
Senior Member
- Aug 20, 2011
- 106
- 9
Naomba ushauri juu ya chuo bora cha kusoma Postgraduate diploma in procurement and supply management hapa Tanzania.Je,katika mitihani ta bodi ya ugavi,mwenye kiwaango hiki cha elimu anaanza na 'level' gani?Nafungua mlango kwa ushauri zaidi na mjadala juu ya kozi hii.Kalibuni
Naomba ushauri juu ya chuo bora cha kusoma Postgraduate diploma in procurement and supply management hapa Tanzania.Je,katika mitihani ta bodi ya ugavi,mwenye kiwaango hiki cha elimu anaanza na 'level' gani?Nafungua mlango kwa ushauri zaidi na mjadala juu ya kozi hii.Kalibuni
Nenda TIA kurasini, mitaala Yao iko attached na bodi ya PSPT (zamani NBMM ), na ukimaliza kama mtu aliyemaliza Undergraduate unaanzia prof. Stage iv. Faida yake, especially kama ni non- proc prof holder, unasoma almost yaleyale utakayoyakuta kwenye review class za CSP