Postgraduate of pharmacy to masters of medicine

Baraka Ngwavi

Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
20
Reaction score
2
Wadau naomba kuuliza iv kama nina degree ya pharmacy alaf nataka nisome masters ya medicine,kama nitapiga kwanza postgraduate ya medicine then ndo nkapga masters ya medicne, je anawezekana naombeni msaada wenu
 
we dogo vipi,,hiyo haiwezekani lazima usome degree ya MD
 
Wadau naomba kuuliza iv kama nina degree ya pharmacy alaf nataka nisome masters ya medicine,kama nitapiga kwanza postgraduate ya medicine then ndo nkapga masters ya medicne, je anawezekana naombeni msaada wenu

Kwa fani kama pharmacy,maabara,mionzi na physio hata uwe na digrii sita zenye mapembe boss wenu anabaki kuwa MD tu!Huwezi kusomea masomo ya Boss wako bila wewe mwenyewe kupitia huko! ni sawa na mgambo kutamani kozi ya umeja jenerali badala ya kutamani kuwa PJ.Hata hivyo unaweza tu kuanza kozi ya miaka mitano maana nadhani umri unaruhusu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
haiwezekani kabisa ila md anaweza kusom uko uliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…