Postpaid ya mtandao wa Voda, Halotel, Airtel

Postpaid ya mtandao wa Voda, Halotel, Airtel

Sozo_

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2022
Posts
776
Reaction score
1,132
Kichwa cha habari chajieleza, naomba mwenye kufahamu gharama za kujiunga postpaid ya mitandao tajwa hapo juu anisaidie chati yake.
 
Kichwa cha habari cha jieleza, naomba mwenye kufahamu gharama za kujiunga postpaid ya mitandao tajwa hapo juu anisaidie chati yake.
Vifurushi vya Post paid vinatofautiana kwakuwa vinategemeana na chaguo na mahitaji/uwezo wa mteja. Mara nyingi huwa mteja anajichagulia mwenyewe aina ya Hand set anayotaka, kiwango cha masaa ya maongezi na internet inayomtosha. Aina ya Hand set na mda wa mkataba unaweza kubadilisha gharama hivyo sio rahisi kupewa gharama bila wewe mwenyewe kufanya uchaguzi wa nini unachohitaji.
 
Vifurushi vya Post paid vinatofautiana kwakuwa vinategemeana na chaguo na mahitaji/uwezo wa mteja. Mara nyingi huwa mteja anajichagulia mwenyewe aina ya Hand set anayotaka, kiwango cha masaa ya maongezi na internet inayomtosha. Aina ya Hand set na mda wa mkataba unaweza kubadilisha gharama hivyo sio rahisi kupewa gharama bila wewe mwenyewe kufanya uchaguzi wa nini unachohitaji.
Asante, nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom