Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Kikosi kamili kinaundwa na makipa Shabani Kado (Yanga), Juma Kaseja (Simba) na Mwadini Ali (Azam).
Mabeki ni nahodha Shadrack Nsajigwa (Yanga), Masoud Cholo (Simba), Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Juma Jabu (Simba), Stephen Mwasyika (Yanga) na Kelvin Yondani (Simba).
Viungo ni Jonas Gerard (Simba), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Shomari Kapombe (Simba), Salum Abubakar (Azam), Mwinyi Kazimoto (Simba) na Abdi Kassim (Azam).
Washambuliaji ni Hussein Javu (Mtibwa Sugar), John Bocco (Azam), Nizar Khalfan (Philadelphia Union, Marekani), Mrisho Ngasa (Azam), Ally Badru Ally (Canal Suez, Misri), Uhuru Selemani (Simba) na Nsa Job (Villa Squad).
My Take :
Kwa staili hii tutaendelea kuwa ni kichwa cha Mwendawazimu.........Hawa akina Nsajigwa,Kaseja,Nditi,Nyoso,Mwasyika, Abdi Kassim, Nizar Khalfan, Nsa Job, Boko wa nini?............Tunahitaji kuwa na timu ya wachezaji chipukizi wa aina ya akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, Ramadhani Singano 'Messi wa Msimbazi' na chipukizi wengine....Hapo ndipo tutajenga timu ya maana....Tujaribu japo kuwaiga wenzetu wa Zambia na Zimbabwe(walileta timu ya vijana Challenge kwa ajili ya kijenga timu yao ya Taifa na ikaonesha kandanda safi )......
Kwa staili hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu na wasindikizaji......Tutaendelea kuwa washangiliaji wa Timu za mataifa mengine....
Mabeki ni nahodha Shadrack Nsajigwa (Yanga), Masoud Cholo (Simba), Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Juma Jabu (Simba), Stephen Mwasyika (Yanga) na Kelvin Yondani (Simba).
Viungo ni Jonas Gerard (Simba), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Shomari Kapombe (Simba), Salum Abubakar (Azam), Mwinyi Kazimoto (Simba) na Abdi Kassim (Azam).
Washambuliaji ni Hussein Javu (Mtibwa Sugar), John Bocco (Azam), Nizar Khalfan (Philadelphia Union, Marekani), Mrisho Ngasa (Azam), Ally Badru Ally (Canal Suez, Misri), Uhuru Selemani (Simba) na Nsa Job (Villa Squad).
My Take :
Kwa staili hii tutaendelea kuwa ni kichwa cha Mwendawazimu.........Hawa akina Nsajigwa,Kaseja,Nditi,Nyoso,Mwasyika, Abdi Kassim, Nizar Khalfan, Nsa Job, Boko wa nini?............Tunahitaji kuwa na timu ya wachezaji chipukizi wa aina ya akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, Ramadhani Singano 'Messi wa Msimbazi' na chipukizi wengine....Hapo ndipo tutajenga timu ya maana....Tujaribu japo kuwaiga wenzetu wa Zambia na Zimbabwe(walileta timu ya vijana Challenge kwa ajili ya kijenga timu yao ya Taifa na ikaonesha kandanda safi )......
Kwa staili hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu na wasindikizaji......Tutaendelea kuwa washangiliaji wa Timu za mataifa mengine....