Poulsen ataja kikosi cha kuivaa Msumbiji.......Ni majina yale yale.....Je Tufafika kweli?

Poulsen ataja kikosi cha kuivaa Msumbiji.......Ni majina yale yale.....Je Tufafika kweli?

Balantanda

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2008
Posts
12,480
Reaction score
4,775
Kikosi kamili kinaundwa na makipa Shabani Kado (Yanga), Juma Kaseja (Simba) na Mwadini Ali (Azam).

Mabeki ni nahodha Shadrack Nsajigwa (Yanga), Masoud Cholo (Simba), Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Juma Jabu (Simba), Stephen Mwasyika (Yanga) na Kelvin Yondani (Simba).


Viungo ni Jonas Gerard (Simba), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Shomari Kapombe (Simba), Salum Abubakar (Azam), Mwinyi Kazimoto (Simba) na Abdi Kassim (Azam).

Washambuliaji ni Hussein Javu (Mtibwa Sugar), John Bocco (Azam), Nizar Khalfan (Philadelphia Union, Marekani), Mrisho Ngasa (Azam), Ally Badru Ally (Canal Suez, Misri), Uhuru Selemani (Simba) na Nsa Job (Villa Squad).


My Take :

Kwa staili hii tutaendelea kuwa ni kichwa cha Mwendawazimu.........Hawa akina Nsajigwa,Kaseja,Nditi,Nyoso,Mwasyika, Abdi Kassim, Nizar Khalfan, Nsa Job, Boko wa nini?............Tunahitaji kuwa na timu ya wachezaji chipukizi wa aina ya akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, Ramadhani Singano 'Messi wa Msimbazi' na chipukizi wengine....Hapo ndipo tutajenga timu ya maana....Tujaribu japo kuwaiga wenzetu wa Zambia na Zimbabwe(walileta timu ya vijana Challenge kwa ajili ya kijenga timu yao ya Taifa na ikaonesha kandanda safi )......

Kwa staili hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu na wasindikizaji......Tutaendelea kuwa washangiliaji wa Timu za mataifa mengine....
 
Lakini zambia walipoleta timu ya vijana hapa haimaanishi hawakuwa na timu ya wakubwa ! Na mashindano ya challenge sio sawa na mashindano ya kugombea kushiriki kombe la dunia, hata zambia hawawezi kupeleka timu waliyoleta hapa kwenda kushiriki qualifications za world cup au AFCON . Point yako ya kuwa tuwekeze kwa vijana ni nzuri, lakini si katika hii style unayosema. I beg to differ.
 
attachment.php
 
Kikosi kamili kinaundwa na makipa Shabani Kado (Yanga), Juma Kaseja (Simba) na Mwadini Ali (Azam).

Mabeki ni nahodha Shadrack Nsajigwa (Yanga), Masoud Cholo (Simba), Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Juma Jabu (Simba), Stephen Mwasyika (Yanga) na Kelvin Yondani (Simba).


Viungo ni Jonas Gerard (Simba), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Shomari Kapombe (Simba), Salum Abubakar (Azam), Mwinyi Kazimoto (Simba) na Abdi Kassim (Azam).

Washambuliaji ni Hussein Javu (Mtibwa Sugar), John Bocco (Azam), Nizar Khalfan (Philadelphia Union, Marekani), Mrisho Ngasa (Azam), Ally Badru Ally (Canal Suez, Misri), Uhuru Selemani (Simba) na Nsa Job (Villa Squad).


My Take :

Kwa staili hii tutaendelea kuwa ni kichwa cha Mwendawazimu.........Hawa akina Nsajigwa,Kaseja,Nditi,Nyoso,Mwasyika, Abdi Kassim, Nizar Khalfan, Nsa Job, Boko wa nini?............Tunahitaji kuwa na timu ya wachezaji chipukizi wa aina ya akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, Ramadhani Singano 'Messi wa Msimbazi' na chipukizi wengine....Hapo ndipo tutajenga timu ya maana....Tujaribu japo kuwaiga wenzetu wa Zambia na Zimbabwe(walileta timu ya vijana Challenge kwa ajili ya kijenga timu yao ya Taifa na ikaonesha kandanda safi )......

Kwa staili hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu na wasindikizaji......Tutaendelea kuwa washangiliaji wa Timu za mataifa mengine....

kwani tunaweza pata wachezaji zaidi ya hawa ambao hawajui? tuambie wako wapi?
 
Kikosi kamili kinaundwa na makipa Shabani Kado (Yanga), Juma Kaseja (Simba) na Mwadini Ali (Azam).

Mabeki ni nahodha Shadrack Nsajigwa (Yanga), Masoud Cholo (Simba), Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Juma Jabu (Simba), Stephen Mwasyika (Yanga) na Kelvin Yondani (Simba).


Viungo ni Jonas Gerard (Simba), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Shomari Kapombe (Simba), Salum Abubakar (Azam), Mwinyi Kazimoto (Simba) na Abdi Kassim (Azam).

Washambuliaji ni Hussein Javu (Mtibwa Sugar), John Bocco (Azam), Nizar Khalfan (Philadelphia Union, Marekani), Mrisho Ngasa (Azam), Ally Badru Ally (Canal Suez, Misri), Uhuru Selemani (Simba) na Nsa Job (Villa Squad).


My Take :

Kwa staili hii tutaendelea kuwa ni kichwa cha Mwendawazimu.........Hawa akina Nsajigwa,Kaseja,Nditi,Nyoso,Mwasyika, Abdi Kassim, Nizar Khalfan, Nsa Job, Boko wa nini?............Tunahitaji kuwa na timu ya wachezaji chipukizi wa aina ya akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, Ramadhani Singano 'Messi wa Msimbazi' na chipukizi wengine....Hapo ndipo tutajenga timu ya maana....Tujaribu japo kuwaiga wenzetu wa Zambia na Zimbabwe(walileta timu ya vijana Challenge kwa ajili ya kijenga timu yao ya Taifa na ikaonesha kandanda safi )......

Kwa staili hii tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu na wasindikizaji......Tutaendelea kuwa washangiliaji wa Timu za mataifa mengine....
Hawa wote akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, unaowataka mbona kawataja kwenye kikosi!? Au ulitaka awataje mara mbilimbili? yaani awataje kwenye nafasi za mabeki awarudie kwenye ushambulia. Husomeki!!!!!
 
Hawa wote akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, unaowataka mbona kawataja kwenye kikosi!? Au ulitaka awataje mara mbilimbili? yaani awataje kwenye nafasi za mabeki awarudie kwenye ushambulia. Husomeki!!!!!
hasomeki kabisaaa atuachie Yanga yetu!
 
Hao ndo wazuri kuliko wengine
 
Lakini zambia walipoleta timu ya vijana hapa haimaanishi hawakuwa na timu ya wakubwa ! Na mashindano ya challenge sio sawa na mashindano ya kugombea kushiriki kombe la dunia, hata zambia hawawezi kupeleka timu waliyoleta hapa kwenda kushiriki qualifications za world cup au AFCON . Point yako ya kuwa tuwekeze kwa vijana ni nzuri, lakini si katika hii style unayosema. I beg to differ.
Vyovyote........

Umekurupuka ama?.....Zambia hawakuileta timu ya vijana kwenye challenge mwaka jana,walioleta timu ya vijana ni Zimbabwe(soma vizuri post yangu),kocha wa Zimbabwe Norman Mapeza alisema kwamba ameileta timu hii ili ipate uzoefu wa kushiriki mashindano ya Afrika.......Concern yangu ni kwamba tuanze kuwapeleka vijana wakashiriki mashindano haya ili waanze kuapata uzoefu wa mashindano makubwa...Hao wazee wameshafail katika kila mashindano waliyoshiriki sasa ya nini kuendelea kuwakumbatia?....

Tanzania tunao wachezaji wengi tu na wazuri ambao wako Ngorongoro Heroes,Manyara Stars na Serengeti Boys na Karume Boys.....Pia Copa Coca Cola huwa inao wachezaji wazuri tu...Hizo timu za vijana zina wachezaji ambao ni wazuri zaidi ya hao wazee akina Kaseja,Nsajigwa,Nditi,Nizar na wengine.......Kama uliangalia mechi ya Simba na Azam FC utakubaliana na mimi kwamba bwana madogo Shomary Kapombe wa Simba na Salum Abubakary 'Sure Boy' wa Azam ndio walikuwa nyota wa mchezo kutokana na jinsi walivyolitawala dimba la kati(kiungo).....Pia Ramadhani Singano(wenyewe Simba wanamwita Messi) aliwanyanyasa vilivyo beki ya Azam....
 
kwani tunaweza pata wachezaji zaidi ya hawa ambao hawajui? tuambie wako wapi?
Tanzania tunao wachezaji wengi tu na wazuri ambao wako Ngorongoro Heroes,Manyara Stars na Serengeti Boys na Karume Boys.....Pia Copa Coca Cola huwa inao wachezaji wazuri tu...Hizo timu za vijana zina wachezaji ambao ni wazuri zaidi ya hao wazee akina Kaseja,Nsajigwa,Nditi,Nizar na wengine.......Kama uliangalia mechi ya Simba na Azam FC utakubaliana na mimi kwamba bwana madogo Shomary Kapombe wa Simba na Salum Abubakary 'Sure Boy' wa Azam ndio walikuwa nyota wa mchezo kutokana na jinsi walivyolitawala dimba la kati(kiungo).....Pia Ramadhani Singano(wenyewe Simba wanamwita Messi) aliwanyanyasa vilivyo beki ya Azam....
 
Hawa wote akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, unaowataka mbona kawataja kwenye kikosi!? Au ulitaka awataje mara mbilimbili? yaani awataje kwenye nafasi za mabeki awarudie kwenye ushambulia. Husomeki!!!!!
Si vibaya ukautumia muda wako kutulia na kusoma vizuri na kukielewa nilichokiandika badala ya kukimbilia kujibu na kupotosha maana ya nilichokiandika mkuu.......Nimesema "Tunahitaji kuwa na timu ya wachezaji chipukizi wa aina ya akina Kado,Mwadini,Kapombe,Salum Abukbakar 'Sure Boy', Gerald Jonas,Ally Badru,Hussein Javu, Ramadhani Singano 'Messi wa Msimbazi' na chipukizi wengine....Hapo ndipo tutajenga timu ya maana...."............

Hao akina Nsajigwa,Kaseja,Nizar Khalfan,Shaban Nditi,Mrisho Ngassa, Nsa Job,Stephano Mwasyika, Chollo, Juma Jabu, Abdi Kassim,John Boko et al hawafai kuchezea Stars......Tunahitaji chipukizi(damu changa) wa kuwaendeleza kwa kuanza kuwapeleka kushiriki kwenye mashindano makubwa(maana kujitoa na kuandaa timu hata kwa miaka mitano imeshindikana)........Timu ya Taifa ya Mali iliyoshiriki AFCON 2002 iliundwa na vijana wadogo kiasi kwamba mchezaji mwenye umri mkubwa alikuwa na miaka 28(http://en.wikipedia.org/wiki/2002_African_Cup_of_Nations_(squads)#Mali)......Timu hii ilishiriki na kushika nafasi ya 4 katika mashindano hayo.........Waliwekeza kwa vijana na waliamua kupeleka timu iliyoonekana ni ya watoto kwenye mashindano husika...

 
Kwani sisi tunataka kufika au bora liende?
 
gonjwa sugu hili.....ni kama lile gonjwa la "kuandika katiba mpya" ambalo lilihitaji msukumo wa opposition kuanzisha mchakato unaoendelea. JK's once fading star now appears to start blinking again - thanks to chadema & co!

the point i want to make is..........anzisha competition (usiniulize vipi) against TFF, utaona akina tenga watakavyokurupuka na football academies na si kuporomosha magorofa mikocheni!
 
Huwezi kuwa na timu ya chipukizi tupu katika mashindano makubwa kama haya, huu mchanyato alioufanya Poulsen ni mzuri. Nakubaliana na kutumia timu za vijana kwenye challenge au makombe madogo tunayoalikwa kama Kombe la Bonde la mto Nile , au COSAFA....lakini sio Qualifications za World Cup

Halafu uliposema tuwaige Zambia, hebu fafanua ,tuwaige lipi?
 
kaka Batalanda tuko pamoja mkuu....timu inatakiwa vijana wengi..tena ni rahisi tu angeongea na mdenish mwenzake ampe vijana wa kazi ambao kule COSAFA under 18 walifanya vzr hata hiyo zambia unayosema waliona cha moto kwa hao madogo
 
wabongo kama waingereza kwa hiyo sasahivi paulsen hafai!!mi naona tumchukue shafii dauda.
 
wabongo kama waingereza kwa hiyo sasahivi paulsen hafai!!mi naona tumchukue shafii dauda.

.......hahahahaha...mkuu hatujasema kocha hafai..ila uteuzi una utata..bado anakumbatia wazee
 
Heri Paulsen ndiye aliyechagua wachezaji tisa wa Simba huku Yanga wakiwa watatu, maana Julio alipigiwa sana kelele.
 
Back
Top Bottom