pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
vianaume vya ajabu ajabu ndo vipi hivyo MadameJokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Diamond PlatinumzJokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Ila hawako 'smart' upstairs, nadhani elimu ndogo inachangiaDiamond Platinumz
Hashim Thabit
Ali Kiba
Mtake radhi Jojo, hawa ni wanaume ambao wameinspire vijana wengi kua - it's possible, and it can be done. Najua tunatofautiana sana kimtazamo, lkn kiuhalisia hawa si 'wanaume suruali'.
Wote hao wanaume wa ajabu ajabu tu na wahuni walimtumia na Ku dump tu na hyo imemfanya JoJo aonekane hovyo hovyo tu kiukweli.Diamond Platinumz
Hashim Thabit
Ali Kiba
Mtake radhi Jojo, hawa ni wanaume ambao wameinspire vijana wengi kua - it's possible, and it can be done. Najua tunatofautiana sana kimtazamo, lkn kiuhalisia hawa si 'wanaume suruali'.
Mkurungu wa Ali k si mchezo naskia.dooooh sa analilia mkurungu
joket joketi wewe nakuoana unakula tu ubuyu
Wanaume wasio na mbele wala nyuma yani shuleless ingawa wana hela ya kubadilisha mbogavianaume vya ajabu ajabu ndo vipi hivyo Madame
Si wote wamebahatika kupata hiyo elimu, hawa wametoka 'average Joe families' na elimu zao hizo hizo lkn wameachieve vitu vikubwa kwenye careers zao. What have you personally achieved kwenye career yako hata uite watu 'vilaza'.Ila hawako 'smart' upstairs, nadhani elimu ndogo inachangia
Hao wengine hawamtaki anapendwa na hao wa ajabu ajabu.Wote hao wanaume wa ajabu ajabu tu na wahuni walimtumia na Ku dump tu na hyo imemfanya JoJo aonekane hovyo hovyo tu kiukweli.
You can say this only if you married your 1st man.Wote hao wanaume wa ajabu ajabu tu na wahuni walimtumia na Ku dump tu na hyo imemfanya JoJo aonekane hovyo hovyo tu kiukweli.
Wanaume wasio na mbele wala nyuma yani shuleless ingawa wana hela ya kubadilisha mboga
okay kumbe shule nayo ina credibility sana eh nlikuwa nachukulia poa sanaWanaume wasio na mbele wala nyuma yani shuleless ingawa wana hela ya kubadilisha mboga
ina maana kiba kimwanaume cha ajabu mkuu?Jokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
How do you define 'personal achievement' in someone's career?Si wote wamebahatika kupata hiyo elimu, hawa wametoka 'average Joe families' na elimu zao hizo hizo lkn wameachieve vitu vikubwa kwenye careers zao. What have you personally achieved kwenye career yako hata uite watu 'vilaza'.