Povu la Jokate

Ulitaka na yeye apate babu kama K Lynn?!
As long huyo mubabu atampenda na kumjali sioni shida wazee ka wale hawasumbui sasa hawa vijana ni kero tupu wanataka kusuuza rungu kila sehemu ukichangia na ustar plus kiki basi ni majanga
 
Mkurungu wa Ali k si mchezo naskia.
Shule kwa ajili ya watu wasio na talent....Mbwana Samatta.Hashim.Kiba nk...hawahitaji shule ya darasani...wanatengeza pesa ndefu ..jay z ana degree.kanye.50 cent.Floyd Mayweather hajui hata kusoma..Messi.David Beckham. Christiano Ronaldo....hawa wote wanapendwa na super model.actress.sio sampuli yako..Jokate ni first runner miss Tanzania 2006..usitegemee kupenda bankers. Doctors
 
Iwe kubwa ndogo ya punda Mimi napenda kufikishwa, kupendwa na kujaliwa ndo silaha kubwa za maangamizi kwangu.
Na wewe unamfanyia mwenzako hayo mambo au unafanyiwa wewe tu, maana wanawake mnavyopenda hizo one-sided!
 
Diamond Platinumz
Hashim Thabit
Ali Kiba

Mtake radhi Jojo, hawa ni wanaume ambao wameinspire vijana wengi kua - it's possible, and it can be done. Najua tunatofautiana sana kimtazamo, lkn kiuhalisia hawa si 'wanaume suruali'.
Jokate sio mtu wa kudate na wasanii wa aina yoyote
 
Si wote wamebahatika kupata hiyo elimu, hawa wametoka 'average Joe families' na elimu zao hizo hizo lkn wameachieve vitu vikubwa kwenye careers zao. What have you personally achieved kwenye career yako hata uite watu 'vilaza'.
Kwani jamani mapenzi ni Chuo mpaka itifaki ya elimu izingatiwe??
 
Kwa hiyo wenye elimu ndogo au wasioelimika kwa elimu ya darasani hawana haki ya kupenda wala kupendwa ?
Au wakawapende akina nani?Wengine tumetoka katika familia ambazo wazazi wetu mmoja wao au wote pamoja na elimu yao ndogo walipendwa,wakaaanzisha familia tukazaliwa.
 
Kweli kabisa,kila anachokifanya hakieleweki
Jamani?
Mmefanya tathmini gani mpaka kujua kuwa anachofanya hakieleweki au biashara zake hazimpi faida?
Au mmekagua vitabu vyake vya fedha na account zake bank na mmefanya tathmini ya miradi na biashara zake?
Nafikiri anajitahidi sana na shughuli zake zinazaa matunda.Atakuja kuwa kati ya wanawake wachache wenye mafanikio ya kifedha kama akiendelea vizuri.
 
Mhh!!!mbona hao wenye vyeti kibao wanaotuongoza hawana hizo busara wanatuburuza tu kama ng'ombe wa maksai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…