Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Yani kawazidi bongo movie had Ku recycle wanaume.Huyu dada nae ana behave kama hajasoma pale mlimani.
Anatakiwe astick kwenye jambo mojaKweli kabisa,kila anachokifanya hakieleweki
Mkuu umeua, ku recycle tena.Yani kawazidi bongo movie had Ku recycle wanaume.
Mkuu unategemea tu na mtazamo wa mtu kuhusu achievement zake kwako waweza kumwona dai ka achieve according to ua perspective ila kwangu Mimi nika mu view tofauti kabisadiamond is one of the most achieved son of our countrry... hakuna hata ceo alimekalibia.. wewe je umeacshiteve nini?? digrii zinatudanganya sana hizi
Yani mahusiano na bongo flavor yamemushusha hadhi mno huyu Jojo ukijweka classy na wewe lazima upate classy people tu.Very true, yaani huyu angepata mwanaume flani gentle Mwenye hadhi flani na asokuwa msanii wa fani yoyote
Mwanaume ndo anatakiwa kuonyesha mfano na Mimi niige kutoka kwakeNa wewe unamfanyia mwenzako hayo mambo au unafanyiwa wewe tu, maana wanawake mnavyopenda hizo one-sided!
Shule ni mojawapo ya consideration na nyingine muhimu moneyNafikiri mapenzi hayapimwi kwa shule.
Hyo ni kweli unakuta hawaendani hata kidogoNa siku zote Wasomi hushindwa kuchagua Wapenzi wazuri na chunguza utagundua kuwa Wasomi wote wameoa au wameolewa na Wapenzi wa hovyo hovyo hadi unashindwa kuamini wakati wanawachagua Usomi wao ulikuwa wapi!
Upo sahihi mkuu ila rekebisha hapo mashuhuri weka maarufu mkuuJokate anapashwa kujua terms and conditions za kupenda the so called celebrities. Haya yanayomtokea si mageni unapokuwa upo kwenye penzi na mtu mashuhuri. Yeye si wa kwanza wala hatakuwa wa mwisho. Aangalie maisha yake. Kama anataka a stable relationship kama ipo basi aachane na hao ma celebrities. Kuna ma celebrities wachache walio weza ku maintain a stable relationship. Mfano Beyonce na Jay Z Will Smith na Jada Pinket Smith. But ask them it's a tough game full of challlenges.
Yaa namuhurumia sana huyu dada....infact alitakiwa apate a real man..Jokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
K Lyn alikuwa na mambo ila alikuwa anafanya relations zake secret mno tofauti na JoJo aisee kwa level yake ange focus angekuwa mbaliHaswaaa yaani hapo tu ndo anapo chemkaaaa
Mhh!!!mbona hao wenye vyeti kibao wanaotuongoza hawana hizo busara wanatuburuza tu kama ng'ombe wa maksai.
Jamani?
Mmefanya tathmini gani mpaka kujua kuwa anachofanya hakieleweki au biashara zake hazimpi faida?
Au mmekagua vitabu vyake vya fedha na account zake bank na mmefanya tathmini ya miradi na biashara zake?
Nafikiri anajitahidi sana na shughuli zake zinazaa matunda.Atakuja kuwa kati ya wanawake wachache wenye mafanikio ya kifedha kama akiendelea vizuri.
Yani kweli aishi maisha yake ya mapenzi kwa ajili ya kuwaonyesha watu?Mwanaume ndo anatakiwa kuonyesha mfano na Mimi niige kutoka kwake
Nafikiri yeye ameona bora ajishughulishe na vitu vingi ilimradi ana muda navyo na kuvimudu.Namaanisha joket anapilika pilika nying sana mpaka anakuwa confused hajui kipi kitamtoa. Mara siasa,music,urembo,ufanyabiashara,u mc na kadhalika. Angechagua kimoja au viwili akavikomalia na kuwa serious angekua mbali sana kimafanikio.(sio saiv anapashana na vijembe juu kisa mwanaume aisee)
Wana share kila kitu wale akili had madanga sijui tatizo lao nini?Mkuu umeua, ku recycle tena.
Wa Ku settle naye na Ku mu Guide ili afike mbali zaidiYaa namuhurumia sana huyu dada....infact alitakiwa apate a real man..
Wengi ni wafoji elimu pia mifumo yetu ilivo Watanzania walio nje wanafanya vzuri tu huku Bongo tuna siasa za kijinga jingaHawana busara ndio maana. Viongozi wengi wa Tanzania hawapo 'smart' vichwani.
Lakini wanachaguliwa na nani kama sio na haohao wanaoburuzwa!