Povu la leo, ikikuuma vumilia ikuume

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,404
Kijana wakiume unaacha kupiga kazi kutwa kuazima nguo kwenda location kupiga PC uki Post status (Usifosi tufanane)
Hukumfukoni huna hata mia Kutwa kulala nyumbani kumtegemea Mama apike akuamshe ule ukiwa unakoroma Kama Ngurue Kwa vibia vyajana club vyakugongea I swear Wewe Sio Mwanaume Nimwana Umeme Na Soon Unakata [emoji51][emoji51][emoji51]
 
Status ishasema USIFOSI TUFANANE, Ni vyema ungewaacha tuu na lifestyle yao na wewe ungejari tuu maisha yako.

Maisha magumu hivi unapata wapi mdaa wa kufatilia maisha ya wanaume wenzio.
 
Unamanisha wale wa dar?
Basi wanakuja

young kilimanjaro
 
Status ishasema USIFOSI TUFANANE, Ni vyema ungewaacha tuu na lifestyle yao na wewe ungejari tuu maisha yako.

Maisha magumu hivi unapata wapi mdaa wa kufatilia maisha ya wanaume wenzio.
Imepenyaaa iyo maneno haya mgusi mnyama au jiwe nibinadamu tu always Pole bro kama na wewe

Nimwanaumeme na ela yaluku huna
 
Tena wa kiume wa namna hiyo ya dezo dezo ndio wanaongeza idadi ya 'madelicious'

CC Ray waniache
 
Tena wa kiume wa namna hiyo ya dezo dezo ndio wanaongeza idadi ya 'madelicious'

CC Ray waniache
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cc Ray Tukuache hii imepenya sanaaa
 
Imepenyaaa iyo maneno haya mgusi mnyama au jiwe nibinadamu tu always Pole bro kama na wewe

Nimwanaumeme na ela yaluku huna
Sikumbuki kutumia kilevi tangia December 28, 2016 ulivyoingia humu jf.

Sijawahi kuishi kwa pamoja na wazee wangu katika umri wa miaka 21 ambao Sasa unao.

Pia sijui hayo mambo ya kwenda location kupiga picha picha yangu ya mwisho kupiga labda siku ambayo niligraduate bachelor yangu.

Swala la msingi hapa nilitaka uache kuleta Uzi wa kuongelea ongelea wanaume wenzio ila nilifanya makosa nilihisi wewe ni jinsia ya kiume.
 
Wengine kutwa kucha wanakimbizana na thread za jukwaa
 
Status ishasema USIFOSI TUFANANE, Ni vyema ungewaacha tuu na lifestyle yao na wewe ungejari tuu maisha yako.

Maisha magumu hivi unapata wapi mdaa wa kufatilia maisha ya wanaume wenzio.

Mwacheni huyu hajitambui ni angefanya kupambana na half yake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…