Power of attorney nini?, zipi ni sifa zinazoruhusu kupatiwa power of attorney?

Power of attorney nini?, zipi ni sifa zinazoruhusu kupatiwa power of attorney?

HIO ni kwa usimamizi wa Mali km wewe ni Tajiri, inafanana KIDOGO na Msimamizi wa Mirathi baada ya Wewe kufa utofauti unaweza kumpa MTU hio PA hata km Wewe haujafa na ika-function as if Wewe umeshakufa kuna sababu mbalimbali km kupatwa na UGONJWA mfano kiharusi ukashindwa kufanya shughuli zako unakasimisha usimamizi wako kwa mwingine ndio anapewa HIO PA anaweza kua Mwanao, Ndugu au MTU yoyote unaemuamini
 
HIO ni kwa usimamizi wa Mali km wewe ni Tajiri, inafanana KIDOGO na Msimamizi wa Mirathi baada ya Wewe kufa utofauti unaweza kumpa MTU hio PA hata km Wewe haujafa na ika-function as if Wewe umeshakufa kuna sababu mbalimbali km kupatwa na UGONJWA mfano kiharusi ukashindwa kufanya shughuli zako unakasimisha usimamizi wako kwa mwingine ndio anapewa HIO PA anaweza kua Mwanao, Ndugu au MTU yoyote unaemuamini
That mean ni lazima itolewe na mtu mwenye akili timamu kwa mtu mwingine anayemuamini?
Je naweza kwenda kwa lawyer kuomba power of attorney kwa ajili ya mtu mwingine? (kumuomba lawyer abariki kwa ajili ya kuiomba kwa mtu mwingine?
 
Power of attorney ni hati ambayo inampa mtu mamlaka ya kufanya maamuzi au kutekeleza shughuli za kisheria kwa niaba ya mtu mwingine...

Power of attorney inaweza kutumiwa kwa mambo mbalimbali kama vile masuala ya kifedha, matibabu, au mambo ya kisheria...

Ngoja waje kukupa muongozo zidi...


Cc: Mahondaw
 
That mean ni lazima itolewe na mtu mwenye akili timamu kwa mtu mwingine anayemuamini?
Hio ni document unayosaini kwa Mwanasheria ukiwa na Akili timamu kwamba likitokea lolote la kutokea basi HUYU hapa ninae Mwandika HAPA NDIO atakae simamia kila kitu km MIMI, unagonga Saini unasubiria lolote la kutokea litokee
 
Back
Top Bottom