ukienda mbali zaidi..........
ME akiamua kitumbua kiliwe kitaliwa...bt
KE akiamua wkt ME hataki hapo game hakuna...
acha kbs kweli Power of Man.......
Ndio maana huwa tunaamua kuwapelekesha kwenye ndoa hadi mnaona nyumba chungu.
Kuna mwanaume mwenzenu alilalamika kubakwa tena sio kwa nguvu, sijui mwamuweka group lipi!!
Kuna mwanaume mwenzenu alilalamika kubakwa tena sio kwa nguvu, sijui mwamuweka group lipi!!
Ndio maana....!!
Ukisikia paa gizani ujue..........!
Mdhaifu wewe hapo kwa kuwa na mawazo mtindi kama sio mgando.
Hahaha. . .Kuna msemo eti humu jf unasema
Nimeamini ujinga ni ujinga sana - source kongosho.
hapa napita bila kugeuka nyuma
Kuna mwanaume mwenzenu alilalamika kubakwa tena sio kwa nguvu, sijui mwamuweka group lipi!!
Kuna mwanaume mwenzenu alilalamika kubakwa tena sio kwa nguvu, sijui mwamuweka group lipi!!
Kutoka group la "Biscut man group of companies" au maeneo mengine wanaitwa "Chapati ya maji group"
wabakwaji kwa hiari.