"Powershaft" za kichina balaaa!!

Mwambieni akanunue kanzu ili aweze kwenda kazini. Ama sivyo atapoteza kotekote.
 
---------------------------
Je redio haikusema jamaa anaitwa nani?anafanya kazi wapi,Maybe we can help him,
on the other side,huyu jamaa tamaa ilimponza,alipoona inakuwa ilibidi atulie kwanza,kwani mwili huwa unakuwa taratibu kama vile kupiga chuma-GYM etc
Tupe habari zaidi tuone jinsi ya kumsaidia or tumfanye circus clown ulaya ,,
je Bado inadinda or ndo imekuwa kubwa but imelegea?
 
Hii habari nina wasiwasi nayo, kwani haijaonyesha huyu jamaa ni wa wapi na ni lini hili tatizo limetokea. lakini zaidi ni kuwa kilo tisa ni uzito wa mtoto wa miaka 2 au zaidi haingii akilini. ila kama ni hadith ya kutoa mafunzo funzo kwa watumiaji wa madawa ya kichina, nakubaliana nayo, watu wakubali maumbile tuliyojaliwa na Allah.
 


Although I dont buy this story exactly the way it is....inaacha maswali mengi.......For sure,there is much more to come unless we learn to accept and appreciate they way we are!Pole sana mazee.
 
nadhani alisahau huu kuwa "Utamu wa PIPI Mate yako"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…