Powertiller (kubota) trekta ya matairi mawili iliyokuja kufanya mapinduzi ya kilimo cha mpunga Tanzania

Powertiller (kubota) trekta ya matairi mawili iliyokuja kufanya mapinduzi ya kilimo cha mpunga Tanzania

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
304
Reaction score
401
POWERTILER ni aina ya trekta ya tairi mbili, kina uwezo wa kulima eneo kubwa kwa muda mfupi.

Ni kifaa cha kulimia kilirichorahisishwa zaidi kusaidia Mkulima wa chini na kati.

Ni kilimishi kilichokuja kufanya mapinduzi ya kilimo hasa Mpunga ingawa kinatumika kulima mashamba ya Mahindi, Maharage na mazao ya aina ya nafaka.

~ Mafuta diesel lita 2 unaweza kulimia mpaka eka 4.
~ kinalima, kinavuluga
~ Kinatumika kubeba mizigo sababu kina teller.

Bei zake
~ Kubota 7M mpka 8M
~ Amec 4.5M
~ SWAM 4. 5M

Hizi bei sio fixed inategemea na maduka.
 
Bila picha??

Screenshot_2021-03-30-10-12-18.jpeg
 
Hiki kifaa ukikipata huku kijijini mbona utatajirika
 
Hiyo kitu ni msaada sana kwetu wakulima wa mpunga. Lakini kwenye bei hiyo uliyotoa sidhani kama ni bei ya sasa. Bila tela inacheza 9M na tela inafika 12m
 
tatizo kwenye uimala upoje
Japo vinasaidia ila uimara sio sana yaani usipokuwa makini kila siku matengenezo ukiwa makini matengenezo yanapungua japo hayaepukiki,japo ni bora kuliko ng'ombe maana kwa powertiller unawahi kumaliza.
 
Hiyo kitu ni msaada sana kwetu wakulima wa mpunga. Lakini kwenye bei hiyo uliyotoa sidhani kama ni bei ya sasa. Bila tela inacheza 9M na tela inafika 12m
Duh!!, Kweli wakati ukuta, Mwaka 2009/2011 humo vilikuwa vinacheza milioni 4.5 hadi 6 humo.
 
Japo vinasaidia ila uimara sio sana yaani usipokuwa makini kila siku matengenezo ukiwa makini matengenezo yanapungua japo hayaepukiki,japo ni bora kuliko ng'ombe maana kwa powertiller unawahi kumaliza.
Kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom