CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Wadau habari zenu?
Naombeni majibu ya maswali haya:
(1)Kuna bank yoyote au taasisi yoyote ya fedha ambayo inaweza kumkopesha mtu (mfanyakazi) kwa dhamana ya mchango wake wa PPF lkn akawa analipa deni la mkopo huo kwa kutumia mshahara wake? Kama ipo ni ipi, na utaratibu ukoje?
(2)Nilishawahi kusikia kuwa PPF inaweza kumkopesha mteja wake kupitia SACCOS.
Hiyo SACCOS ni yoyote ile au LAZIMA iwe imeundwa na wanachama tu? Na kama ni LAZIMA iundwe na wanachama tu ni LAZIMA wanachama wawe wanafanya kazi kampuni moja? Utaratibu wa kupata mkopo PPF kupitia SACCOS ukoje?
(3)Tukiachana na PPF na mikopo, inawezekana mtu kujiunga na SACCOS yoyote ile nchini (kwa maana ya kwamba si LAZIMA members wote wanaound SACCOS wawe wana-share something unique for them, mfano "wafanyakazi wa kampuni fulani tu"). Kama ipo ni ipi na iko wapi? Kwa Dar ipo na inaitwaje, iko wapi na utaratibu ukoje?
NATANGULIZA SHUKRANI!
Naombeni majibu ya maswali haya:
(1)Kuna bank yoyote au taasisi yoyote ya fedha ambayo inaweza kumkopesha mtu (mfanyakazi) kwa dhamana ya mchango wake wa PPF lkn akawa analipa deni la mkopo huo kwa kutumia mshahara wake? Kama ipo ni ipi, na utaratibu ukoje?
(2)Nilishawahi kusikia kuwa PPF inaweza kumkopesha mteja wake kupitia SACCOS.
Hiyo SACCOS ni yoyote ile au LAZIMA iwe imeundwa na wanachama tu? Na kama ni LAZIMA iundwe na wanachama tu ni LAZIMA wanachama wawe wanafanya kazi kampuni moja? Utaratibu wa kupata mkopo PPF kupitia SACCOS ukoje?
(3)Tukiachana na PPF na mikopo, inawezekana mtu kujiunga na SACCOS yoyote ile nchini (kwa maana ya kwamba si LAZIMA members wote wanaound SACCOS wawe wana-share something unique for them, mfano "wafanyakazi wa kampuni fulani tu"). Kama ipo ni ipi na iko wapi? Kwa Dar ipo na inaitwaje, iko wapi na utaratibu ukoje?
NATANGULIZA SHUKRANI!