PPF na dhuluma ya kutisha

PPF na dhuluma ya kutisha

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Mwajiri hajalipa michango yangu PPF miaka.2. Kila akikumbushwa anadai hana fedha na inaonesha hilo sio priority kwake! Naomba kujua cha kufanya kisheria ili kumlazimisha anilipe haraka nitakapoacha kazi.
 
Mwajiri hajalipa michango yangu PPF miaka.2. Kila akikumbushwa anadai hana fedha na inaonesha hilo sio priority kwake! Naomba kujua cha kufanya kisheria ili kumlazimisha anilipe haraka nitakapoacha kazi.
Kutokana na maelezo hapo chini ambayo nimetoa kwenye website yao sehemu FAQ, ni jukumu la PPF kuhakikisha michango inafika, na kama haifiki na PPF hawakupi ushirikiano basi nenda kwenye chama chenu cha wafanyakazi watakupa mwongozo au wizara ya kazi kuna kitengo kinashughulika na matatizo ya wafanyakazi.

  1. What happens if members' contributions are not remitted after the grace period of 30 days?

    According to the law, non remittance of members' contributions by an employer is a criminal offence. A penalty of 5% is charged every month on delayed contributions.
  2. Does the penalty affect the employee?

    The penalty does not involve the employee. This is the employer's responsibility only. However, if the penalty is out standing when the employee is due for payment of benefits that period is excluded in calculation of the benefit.
 
Masuke. Nakushukuru sana. Nikiangalia figure ninayodai naweza kabisa kujiajiri.
 
Nenda ppf ukachukue statement au unaweza kuipata kwenye website yao baada ya ku register na ku log in, kama ulikumbuka kutunza pay slip itakuwa ni vyema ukaambatanisha vyote kisha niletee
 
Back
Top Bottom