PPM Vs BAF

Chiwaligo

New Member
Joined
May 6, 2011
Posts
3
Reaction score
1
za muda huu walimwengu wenzangu...naomba msaada wenu katika hli Suala.......eti between Bsc. Economics in PROJECT PLANNING MANAGEMENT(PPM) and Bachelor of Accounting and finance(BAF), which one is more demanded in terms of marketability? and ipi itamsaidia msomaj katka suala zima la kujiajiri mbele ya safari?
 
zote unaweza kuajiajiri ila BAF naona iko marketable zaidi.
 
hapo hakuna hata moja inafaaaa... ukizingatia kila mtu anasoma mambo hayo... Nakushauri utafute chuo kinachofundisha Nuclear Physics. iko marketable sana na Tanzania wako katika harakati za kuanzisha kinu kikubwa hapo badae
 
hapo hakuna hata moja inafaaaa... ukizingatia kila mtu anasoma mambo hayo... Nakushauri utafute chuo kinachofundisha Nuclear Physics. iko marketable sana na Tanzania wako katika harakati za kuanzisha kinu kikubwa hapo badae
say it again:laugh::laugh:hizi fizikia na kemia tunazikimbia sana mashuleni
 
Kasome BAF ni marketable kwa sababu Makampuni mengi yanaanzishwa na yaliyopo yanajitahidi kuexpand kila kukicha.
Usiogope wingi wa watu wanaosoma hiyo kozi. Kwanza kuna wengine huishia njiani.
Kila la heri.
 
Kozi zote ni nzuri issue ni wewe mwenyewe kujiweka competent. Yaani nafasi ya kufanya vizuri kwenye soko inategemeana na wewe mwenyewe zaidi na si kozi. Pia na pale unaposemea ni muhim saana.
 
Wewe sikiliza wasije wakakudanganya, BAF inalipa kuliko kozi yoyote kwa bongo! Usiangalie eti uhasibu unafundishwa kila chuo, BAF tena ya Mzumbe ni exceptional!! waajili wengi wanawahitaji, na vijana wanatoka kiurahisi zaidi! Hilo li PPM lako utapoteza muda bure, na kutoka mwanangu itakuchukua muda mrefu, pia ni kazi ambayo inaurasimu mkubwa, lakini BAF serikalini na private, international na local zote hizo ni market yako, lakini PPM? labda serikalini, na serikalini nafasi mpaka uwe unarefa, lakini BAF ni vyeti vyako tu!!! tena kama GPA nzuri, utalinga!!!
 
architecture.. Engeneering...building economics..... Health usipotoshe umma

Sasa mkuu kama mtu kasoma hge au eca unataka akasome health(japo sijui ulimaanisha nini hapa) au engineering???? Je huoni wewe ndiye unapotosha watu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…