KERO PPRA Mtandao wa Manunuzi (NEST) una changamoto sana

KERO PPRA Mtandao wa Manunuzi (NEST) una changamoto sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Nikiwa kama Mdau mkubwa wa mtandao wa Manunuzi ulianzishwa wa Nest badala wa ule wa Taneps wa awali, nikiri huu wa NEST ni majanga.

Nikweli mtandao wa Taneps ulikuwa unachangamoto zake lakini pia haukuwa rafiki maana ulikuwan na Paper work nyingi lakini haukuwa na shida kama huu wa NEST.

Siku za hivi karibuni umekuwa na shida hasa ida ya asubuhi mpaka jioni saa 12 unakuwa haupatikani, mathalani jana nilikuwa na tenda 4 zote nimefail kuzituma kisa mtandao upo down.

Leo naona wametuma Email ya Kuomba msamaha wakongeza siku ya kufungua tenda za jana lakini mpaka sasa bado mtandao upo chini haiwezekani kutuma.

Naomba watu PPRA wajitadhimini, Maana imekuwa kero kubwa sana+.

Majibu ya Mamlaka, soma hapa ~ PPRA: Inapotokea kuna changamoto ya Mtandao katika Mfumo wa NeST huwa tunasogeza mbele muda wa Tenda
 
Nikiwa kama Mdau mkubwa wa mtandao wa Manunuzi ulianzishwa wa Nest badala wa ule wa Taneps wa awali, nikiri huu wa NEST ni majanga.

Nikweli mtandao wa Taneps ulikuwa unachangamoto zake lakini pia haukuwa rafiki maana ulikuwan na Paper work nyingi lakini haukuwa na shida kama huu wa wa NEST.

Siku za hivi karibuni umekuwa na shida hasa ida ya asubuhi mpaka jioni saa 12 unakuwa haupatikani, mathalani jana nilikuwa na tenda 4 zote nimefail kuzituma kisa mtandao upo down.

Leo naona wametuma Email ya Kuomba msamaha wakongeza siku ya kufungua tenda za jana lakini mpaka sasa bado mtandao upo chini haiwezekani kutuma.

Naomba watu PPRA wajitadhimini, Maana imekuwa kero kubwa sana+.
Si wewe tu ni wengi wanalalamikia huu mfumo, nadhani bado uko under development
 
Mchawi Server ukiona hivyo Server inazidiwa uwezo na idadi ya watumiaji Server ikiwa na capacity ndogo ndio tatizo linakua hilo mfano mdogo chupa ya nusu lita huwezi ukajaza maji ya chupa ya lita 1 hata iweje lazima kuna nusu lita haitoingia kwenye chupa ya nusu lita maana yake yataishia kumwagika tu bila kuingia kwa hio waboreshe Server zao Server majanga na sio wao tu wengi Server zina majanga
 
Haukuwa na haja ya kuanzia kutumika Nest wakati bado una hitilafu nyingi, tunapoteza muda sana.
 
Back
Top Bottom