Practical training mwezi wa 7

Practical training mwezi wa 7

Mr. Masasi

Member
Joined
May 12, 2011
Posts
53
Reaction score
4
Wadau hali zenu? Naomben msada wa kimawazo au wa kupata sehem ya kufanyia field ya wik 6,kwan sehem niliyopata ni halmashaur ya serengeti lakn huko ni mbali na mimi ni mwenyeji wa nzega tabora. Nko udom nasoma project planing,management and comunity devlpmnt. Asanten
 
wadau hali zenu? Naomben msada wa kimawazo au wa kupata sehem ya kufanyia field ya wik 6,kwan sehem niliyopata ni halmashaur ya serengeti lakn huko ni mbali na mimi ni mwenyeji wa nzega tabora. Nko udom nasoma project planing,management and comunity devlpmnt. Asanten
jitahidi kupata mawasiliano ya kwa maafisa utumishi wa wilaya za tabora unaweza pata field uko ni karibu na kwenu .
 
Back
Top Bottom