Mmmesikia matangazo luluki ya hii hoteli inaitwa JB hotel na ishauzwa kwa mtu mwingine na jina limebadilishwa toka paradise na mmiliki mpya.
Nadhani wa mwanzo alikuwa ni msomali wa sasa hivi ni mzalendo mwenzetu. kwa hiyo style ni ile ile ya Kempsiky na Movenpick