Jamani, wazazi kuweni makini, na baadhi ya walimu, wa mchikini walimu wamekalia kuwa mara muddy ana one ya tatu, mbuga one ya nne, muramura one ya tatu, walimu wote waliobaki akina mgote, unga,na akina mdau wanapondwa na baadhi ya mawakala wa akina muddy kuwa mgote alipata physics "d"sisi kama watalaam wa elimu ubora wa mwalimu haupimwi kwa division one ya tatu, bali maadili na uttaalamu, kuna vijana wamefundishwa ana akina muddy bado ni nwabivu kwa hiyo swala si one swala je mtoto yupo tayari kusoma wazazi na wadau wote wa elimu tuwenimakini na majigambo haya ya akina muddy