Pre-orientation kwa waliochaguliwa UDSM

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Nawasalimu na kuwapongeza wote mliofanikiwa kuchaguliwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika Kampasi zake mbalimbali. Wote mliochaguliwa JK Nyerere Mlimani, MUCE,DUCE na SJMC nawakaribisha kwa maelekezo ya mwanzo juu ya chuo chetu pendwa UDSM. Karibuni muulize kuhusu mambo mbalimbali ya kitaaluma na kijamii.

Mnaweza kuwasiliana name pia kwa PM pamoja na pemelewa@hotmail.com. Karibuni!
 
samahan mkuu we unasma koz gan mana me nmechaguliwa mechanical eng vp ikoje?i mean kiajira en kuna ki2 kinaitwa aris naomba unfafanulie hapo mkuu
 
samahan mkuu we unasma koz gan mana me nmechaguliwa mechanical eng vp ikoje?i mean kiajira en kuna ki2 kinaitwa aris naomba unfafanulie hapo mkuu

Mimi nimemaliza hapa mwaka 2009 Sheria. Kwasasa ni mwajiriwa wa UDSM. Kuhusu ajira, yategemea mambo mengi kama ufaulu, bahati, mahitaji ya kazi husika na kadhalika. ARIS ni mfumo maalum kwa ajili ya kuweka na kupata taarifa zimhusuzo mwanafunzi kama vile za malazi,matokeo na kadhalika. Kirefu chake ni Academic Registration Information System
 
nimekupata mkuu..nlipoingia aris nlikta kuna sehem imeandkawa usernem na nyngne paswod xo cjajua inabd nicreat acc ka navocreate kwnye mitandao ya jamii au inakuaje apo kaka
 
Uwaambie kabisa kwa wale watakaokua wakazi wa mabibo,kuna shato pori..pia uwaambie kuna code za msoc ambazo ni 100,001,011,010,101 na 111.over
 
Uwaambie kabisa kwa wale watakaokua wakazi wa mabibo,kuna shato pori..pia uwaambie kuna code za msoc ambazo ni 100,001,011,010,101 na 111.over

umesahau code moja tu, 000, ambayo hutumika wakati bumu limekata kabisaaa!
 
Maisha hayo jamani dah mpeni hai Dr Urassa na Urio .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…