Pre season ya Simba hawatapata kipimo sahihi cha kujipima

Pre season ya Simba hawatapata kipimo sahihi cha kujipima

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Uongozi wa simba kuna mda unashangaza sana
Unaenda kufanya pre season kwenye nchi ambayo unajua kabisa ni ngumu sana kupata timu ya maana ya kujipima kwa sababu kubwa ligi haijaisha

Kwanini wasingeenda moroco ambako nako ligi imeisha na wananafasi kubwa sana ya kupata kipimo kizuri kuliko ilivyo misri ambapo ligi inaendelea na ni ngumu kupata kipimo kizuri

Wanaoendesha timu ya simba wakiongozwa na dewji wajifunze kufanya mambo professional waache ujanja ujanja
 
downloadfile-1.jpg
 
Kimsingi ratiba nzima ya pre-season mpaka mechi zilipaswa kupangwa na kujulikana kabla ya kuanza!
Haya mambo ya kutafuta timu kwa kuokoteza ni ukosefu wa weledi!
Ni watu ambao hawaangalii mbele unaenda misri kucheza na timu ya mwisho daraja la pili sasa si bora ungebaki hapa hapa ukaomba kucheza na ruvu jkt
 
Uongozi wa simba kuna mda unashangaza sana
Unaenda kufanya pre season kwenye nchi ambayo unajua kabisa ni ngumu sana kupata timu ya maana ya kujipima kwa sababu kubwa ligi haijaisha

Kwanini wasingeenda moroco ambako nako ligi imeisha na wananafasi kubwa sana ya kupata kipimo kizuri kuliko ilivyo misri ambapo ligi inaendelea na ni ngumu kupata kipimo kizuri

Wanaoendesha timu ya simba wakiongozwa na dewji wajifunze kufanya mambo professional waache ujanja ujanja
Hauna upeo wa kufikiria..mbona hushangai timu kubwa ya Ausbugh kucheza na timu ndogo ya Yanga
 
Uongozi wa simba kuna mda unashangaza sana
Unaenda kufanya pre season kwenye nchi ambayo unajua kabisa ni ngumu sana kupata timu ya maana ya kujipima kwa sababu kubwa ligi haijaisha

Kwanini wasingeenda moroco ambako nako ligi imeisha na wananafasi kubwa sana ya kupata kipimo kizuri kuliko ilivyo misri ambapo ligi inaendelea na ni ngumu kupata kipimo kizuri

Wanaoendesha timu ya simba wakiongozwa na dewji wajifunze kufanya mambo professional waache ujanja ujanja
Si lazima kukutana na timu ya nchi hiyo. Mwaka jana Simba walicheza na CSKA Moscow ya Russia wote wakiwa preseason Uturuki
 
Unaenda misri kucheza na timu ya mwisho daraja la pili kwa akili yako hiko ni kipimo cha uimara wa timu
Wale wajerumani waliocheza na Yanga kama unajua mpira kuna usawa wowote pale, ni hivi nikufundishe Pre season ukicheza mechi yoyote ni kutafuta au kuweka mili sawq baada ya rikizo ndo mana hata timu kubwa duniani huweenda pre season kwenye vinchi vidogo kimpira, mech za pre season hazinaga mbinu
 
Hauna upeo wa kufikiria..mbona hushangai timu kubwa ya Ausbugh kucheza na timu ndogo ya Yanga
Umeupanua sana ubongo wake. Kama hajachanganyikiwa sijui, nipo paleee
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom