TheImporter
Member
- Oct 13, 2011
- 23
- 2
Hii airline inaelekea kubaya esp. ukiangalia competition inayoingia nchini kwenye industry. Cancellations na delays zimezidi tena taarifa hazitolewi muda wa kutosha (say 3 or 4 hours) kabla ya safari ili watu wajue na kupangilia mambo yao vizuri. Kwa mfano leo, kuna ndege ambayo ilitakiwa kuondoka kwenda Mwanza saa 1210 jioni, nimefika airport wananiambia inataondoka saa 5 usiku. Kampuni haijali saizi haijali kabisa wateja tofauti na zamani, hawatowi taarifa mapema na hawaombi radhi. Ila abiria akichelewa anapigwa faini. Na kwa hili inaenda kupoteza wateja wengi wa kubwa.