lubnatheone
New Member
- May 23, 2013
- 2
- 0
Kenya Airways yazidi kuitelekeza Precision Air. Hali yao yazidi kuwa mbaya,wafanyakazi kama isemekano bado hawajalipqa miezi miwili. Wamiliki wa ndege zilizokodiwa wabishia kuzichukua,serikali ya zanzibar pia yazidi kuwabana.
Sasa wamesimamisha hujuma dhidi ya Fastjet na Atcl,wanataka mazungumzo na serikali.
Sasa wamesimamisha hujuma dhidi ya Fastjet na Atcl,wanataka mazungumzo na serikali.