lubnatheone
New Member
- May 23, 2013
- 2
- 0
Kenya Airways yazidi kuitelekeza Precision Air. Hali yao yazidi kuwa mbaya,wafanyakazi kama isemekano bado hawajalipqa miezi miwili. Wamiliki wa ndege zilizokodiwa wabishia kuzichukua,serikali ya zanzibar pia yazidi kuwabana.
Sasa wamesimamisha hujuma dhidi ya Fastjet na Atcl,wanataka mazungumzo na serikali.
Kenya Airways yazidi kuitelekeza Precision Air. Hali yao yazidi kuwa mbaya,wafanyakazi kama isemekano bado hawajalipqa miezi miwili. Wamiliki wa ndege zilizokodiwa wabishia kuzichukua,serikali ya zanzibar pia yazidi kuwabana.
Sasa wamesimamisha hujuma dhidi ya Fastjet na Atcl,wanataka mazungumzo na serikali.
ndio i can post anything and to start of this will do!!
Kenya Airways yazidi kuitelekeza Precision Air. Hali yao yazidi kuwa mbaya,wafanyakazi kama isemekano bado hawajalipqa miezi miwili. Wamiliki wa ndege zilizokodiwa wabishia kuzichukua,serikali ya zanzibar pia yazidi kuwabana.
Sasa wamesimamisha hujuma dhidi ya Fastjet na Atcl,wanataka mazungumzo na serikali.
What happened. ATCL is back in full gear. Punctual, first-class services.Im stacked somewhere b'coz of this worthless airline!
Haha!! Na mara ya mwisho kutumia JF ni July 29,2013, 6yrs hayupo, alidumu miez miwili tuu..haonekani tenaWelcome to JF. Vipi wamekutenda nini mkuu! Umeingia leo leo na post yako ya kwanza ni hii... Pole lakini.
Back to the main topic..........