Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeitoa Fast jet kwenye reli alikosea sanaa, aliharibu vibaya mnoowakinyimwa vibali ATCL hana ndege za kutosha hata kwa route za ndani tu.
Usafiri wa anga ni shida tu hapa Tz
Kabisa kabisaAliyeitoa Fast jet kwenye reli alikosea sanaa, aliharibu vibaya mnoo
Precission Air wakiona abiria wamepatikana wanakimbilia Karakana wanawasha ndege, vingine vitamaliziwa kufungwa baadaye.Anayetoa vibali ili ndege ziwe registered na kuruka achunguze Precision Air. Precision gharama zao ziko juu, wahudumu hawana msaada na ndege zao hata siku moja haziheshimu muda. Wapewe ultimatum. Hawafai na hawana professionalism.
Anayetoa vibali ili ndege ziwe registered na kuruka achunguze Precision Air. Precision gharama zao ziko juu, wahudumu hawana msaada na ndege zao hata siku moja haziheshimu muda. Wapewe ultimatum. Hawafai na hawana professionalism.
Twende taratiib, umepata changamoto gani hasa?Anayetoa vibali ili ndege ziwe registered na kuruka achunguze Precision Air. Precision gharama zao ziko juu, wahudumu hawana msaada na ndege zao hata siku moja haziheshimu muda. Wapewe ultimatum. Hawafai na hawana professionalism.
Ilikuwaje Fastjet alikuwa na ndege 3 ila alikuwa na miruko mingi?wakinyimwa vibali ATCL hana ndege za kutosha hata kwa route za ndani tu.
Usafiri wa anga ni shida tu hapa Tz
Hapana itakuwa ni livery zimefanana kiaina.Hivi ni Mimi naona au ni kweli ndege za kampuni hii zinafanana na ndege za mizigo marekani?