Ndege za kamatwa na kushindwa kuruka madeni,kioko awakimbia awaacha katika hali taabani. Wafanyakazi walipwa nusu mshahara,waanza kupunguza route,wameshidwa kutoa huduma nafuu kwa wananchi. Wajaribu kuididimiza fastjet lakini wakwama,kiasi kwamba wadaiwa kila kona madeni yasiyo lipika. Wapo katika hatua ya kujikabidhi serikalini na walijaribu kuihujumu na kuisumbua air tanzania,hapo awali kwa mafanikio ya kutosha. Sasa wakwama kuihujumu fastjet na fastjet yaendelea kupaa kwakuwapatia watanzania huduma bora na zenye bei nafuu.