We sema tu udaku wakati wafanyakazi wanaangamia.. Una mtu yeyote unatemfahamu huko precision akupe uhakika? Kuna wengine kwa vile nyie hamna namna ya kupata taarifa mnaishia tu kusema huu ni udaku.. kalaghabhaoUdaku spesheli
Habari haijatulia. Ndege zimekamatwa wapi? Wanadaiwa na nani? Ruti gani zimepunguzwa?
Udaku spesheli
ATC hadi mwanza, endi zeni inifwakti LUSHANGA hadi katereloThis is scary........wahaya tutaendaje bukoba bila plesisheni?
Ndege za kamatwa na kushindwa kuruka madeni,kioko awakimbia awaacha katika hali taabani. Wafanyakazi walipwa nusu mshahara,waanza kupunguza route,wameshidwa kutoa huduma nafuu kwa wananchi. Wajaribu kuididimiza fastjet lakini wakwama,kiasi kwamba wadaiwa kila kona madeni yasiyo lipika. Wapo katika hatua ya kujikabidhi serikalini na walijaribu kuihujumu na kuisumbua air tanzania,hapo awali kwa mafanikio ya kutosha. Sasa wakwama kuihujumu fastjet na fastjet yaendelea kupaa kwakuwapatia watanzania huduma bora na zenye bei nafuu.
Wapo katika hatua ya kujikabidhi serikalini na walijaribu kuihujumu na kuisumbua air tanzania,hapo awali kwa mafanikio ya kutosha. Sasa wakwama kuihujumu fastjet na fastjet yaendelea kupaa kwakuwapatia watanzania huduma bora na zenye bei nafuu.