Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe tuko wengi
Tanzania na masoko ya hisa bado.... utafiti yakinifu hua haufanyiki na ukifanyika unakua doctored, na ukihoji huna nafasi
Kuweni na subira jamani, kutoa dividend mpaka mwaka uishe wafunge mahesabu ndo wajue kama kuna chochote cha kuwagawia, kama hakipo basi ni kusubiri hata miaka5 inaweza pita. Kuwekeza kwenye hisa ni very high risk investment but sometimes it pays.
Kama vipi angalia share zikipanda bei pale DSE kauze uachane nao, ila kumbuka kuna commissions na kodi pia, so hakikisha bei imepanda hasa!
Mi pia nilinunua hisa, shida yangu ni majibu ya hisa zetu na sio gawiwo, walisema january tutapata kimya mpaka leo kulikoni?
nyie mnao suburi sijui kupigiwa simu au kupewa gawio sikilizeni
na anza na wale wa simu-tangazo lilitoka juzi muende kwenye bank mlizo nunulia shares zenu mpewe cheti cha umiliki wa hisa ulizo nunua .
nyie wa gawio mme nunua shares juzi tu, mnataka faida leo faida ina weza take hata 1 year ndio mpewe ina tegemea na walivyo ingiza faida ila sana sana ni bada ya 1 year ndio mtaona matunda yenu
Tanzania na masoko ya hisa bado.... utafiti yakinifu hua haufanyiki na ukifanyika unakua doctored, na ukihoji huna nafasi
Hili ndiyo jibu sahihi kwa maoni yangu, Bongo yetu ukiwa na senti yako ya ziada bora uanzishe mradi hata wa maadazi kuliko kununua the so called HISA, bado tuna safari ndefu.