Precission Air, naomba kuuliza

Precission Air, naomba kuuliza

Mbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2007
Posts
12,752
Reaction score
7,861
Kwa anayejua, anisaidie (One-Way) fares za precission air toka miji ya;

Dar - Zbar

Zbar - Arusha

Arusha - Dar

...Wanayo website lakini haijakamilika,
Natanguliza shukrani.
 
Kwa anayejua, anisaidie (One-Way) fares za precission air toka miji ya;

Dar - Zbar

Zbar - Arusha

Arusha - Dar

...Wanayo website lakini haijakamilika,
Natanguliza shukrani.

Arusha - Dar ni TZS 180,000 (return zidisha mara 2)
 
Arusha - Dar ni TZS 180,000 (return zidisha mara 2)

Jomba maelezo yako si kweli...!Nijuavyo mimi ni kwamba nauli zinatofautiana kutokana na unavyofanya booking mapema au kwa kuchelewa, au last minute booking!....Ukifanya booking, say 3 days prior to travelling Dar-Arusha utalipa something like ths 206,000/=,..na jinsi unavyosogeza booking kuja kwenye d-day, nauli inapanda, lakini all in all haizidi 215,000/=.....return ticket ni 348,000/=....Ahsante!
 
Jomba maelezo yako si kweli...!Nijuavyo mimi ni kwamba nauli zinatofautiana kutokana na unavyofanya booking mapema au kwa kuchelewa, au last minute booking!....Ukifanya booking, say 3 days prior to travelling Dar-Arusha utalipa something like ths 206,000/=,..na jinsi unavyosogeza booking kuja kwenye d-day, nauli inapanda, lakini all in all haizidi 215,000/=.....return ticket ni 348,000/=....Ahsante!
hapa ni practical exiperience zaidi!
jombi vipi hivi uliuza simu?:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Jomba maelezo yako si kweli...!Nijuavyo mimi ni kwamba nauli zinatofautiana kutokana na unavyofanya booking mapema au kwa kuchelewa, au last minute booking!....Ukifanya booking, say 3 days prior to travelling Dar-Arusha utalipa something like ths 206,000/=,..na jinsi unavyosogeza booking kuja kwenye d-day, nauli inapanda, lakini all in all haizidi 215,000/=.....return ticket ni 348,000/=....Ahsante!

Kweli wewe ni Paka !!! Mimi ndie niliyesafari na tiketi/risiti bado ninayo mkononi na ndio niliyotumia kufanya reference - halafu unasema mimi muongo. Haya bwana mkweli wewe.
 

Shukuran sana wakuu.

Labda niwasubirie na wale waliofanya routes za
Dar - Zanzibar,
Zanzibar - Arusha

kwa hiyo Precission Air. I wish kwenye website yao wangetuwekea info zote hizi.
Online booking inasaidia sana kuliko kuhangaika mpaka maofisini, waliopo nje ya nchi inakuwa ni usumbufu.
 

Shukuran sana wakuu.

Labda niwasubirie na wale waliofanya routes za
Dar - Zanzibar,
Zanzibar - Arusha

kwa hiyo Precission Air. I wish kwenye website yao wangetuwekea info zote hizi.
Online booking inasaidia sana kuliko kuhangaika mpaka maofisini, waliopo nje ya nchi inakuwa ni usumbufu.
Kwa uzoefu huwa hakuna tofauti ya nauli kati ya:
Dar-Arusha na
Zanzibar-Arusha!
 
Jomba maelezo yako si kweli...!Nijuavyo mimi ni kwamba nauli zinatofautiana kutokana na unavyofanya booking mapema au kwa kuchelewa, au last minute booking!....Ukifanya booking, say 3 days prior to travelling Dar-Arusha utalipa something like ths 206,000/=,..na jinsi unavyosogeza booking kuja kwenye d-day, nauli inapanda, lakini all in all haizidi 215,000/=.....return ticket ni 348,000/=....Ahsante!

Dah gharama za ndege Bongo bado zipo juu sana watu wa hali ya chini tutaendelea kuzisikia kwenye bomba.
 
Dah gharama za ndege Bongo bado zipo juu sana watu wa hali ya chini tutaendelea kuzisikia kwenye bomba.

... acha tu. wanadai ni gharama za uendeshaji. Mimi nadhani inasababishwa na upungufu tu wa ushindani.
Kuna shirika jipya fly540, inaelekea wao wanatoza nauli nafuu kidogo. Otherwise itabidi wengi waendelee na
usafiri wa ndege za ardhini, kina Scandinavia Express, Buffalo Coaches etc...
Kwa wenye haraka, 'kujikuna' muhimu.

Binafsi ninahitaji hizi infos sababu nina shughuli muhimu sana kwenye routes hizo, ndio maana inabidi kupanga bajeti nzuri kulingana na wakati mdogo niliokuwa nao.
 
... acha tu. wanadai ni gharama za uendeshaji. Mimi nadhani inasababishwa na upungufu tu wa ushindani.
Kuna shirika jipya fly540, inaelekea wao wanatoza nauli nafuu kidogo. Otherwise itabidi wengi waendelee na
Nakupa majibu juu ya hawa jamaa in no tym, bahati nzuri nina full contact za Air-Ticketers wao!
usafiri wa ndege za ardhini, kina Scandinavia Express, Buffalo Coaches etc...
Kwa wenye haraka, 'kujikuna' muhimu.

Binafsi ninahitaji hizi infos sababu nina shughuli muhimu sana kwenye routes hizo, ndio maana inabidi kupanga bajeti nzuri kulingana na wakati mdogo niliokuwa nao.
Nakupa majibu juu ya hawa jamaa in no tym, bahati nzuri nina full contact za Air-Ticketers wao!
 
... acha tu. wanadai ni gharama za uendeshaji. Mimi nadhani inasababishwa na upungufu tu wa ushindani.
Kuna shirika jipya fly540, inaelekea wao wanatoza nauli nafuu kidogo. Otherwise itabidi wengi waendelee na
usafiri wa ndege za ardhini, kina Scandinavia Express, Buffalo Coaches etc...
Kwa wenye haraka, 'kujikuna' muhimu.

Binafsi ninahitaji hizi infos sababu nina shughuli muhimu sana kwenye routes hizo, ndio maana inabidi kupanga bajeti nzuri kulingana na wakati mdogo niliokuwa nao.

Yaani mkuu hizo gharama unaona bora uruke Dubai na kurudi inakuwa cheap kulinganisha na umbali lakini unaruka hapa unakaa saa 1 angani bei hiyooo maumivu matupu bora kuchana boda kwa usafiri wa ardhi ukachukua Dar Express au huko Zenji ukapanda Boat za Azam nazo zipo fasta
 
Znz- Arusha (Fly540), ni $ 147, AU tSHS 220,000/=
Return ticket ni thsh 440,000/=
Proven info!
Jipange sawasawa Mkuu!
 
Yaani mkuu hizo gharama unaona bora uruke Dubai na kurudi inakuwa cheap kulinganisha na umbali lakini unaruka hapa unakaa saa 1 angani bei hiyooo maumivu matupu bora kuchana boda kwa usafiri wa ardhi ukachukua Dar Express au huko Zenji ukapanda Boat za Azam nazo zipo fasta

...Hehe! ukihesabu maumivu mzee utakuwa unajikalifisha nafsi, maisha yenyewe mafupi haya, ha ha ha...
yap, Dar- Zbar boat za Bakhressa zina unafuu, nadhani sasa ni 25,000/= pp
unapigwa na wimbi pale msasani kisha chumbe,...saa moja na nusu ushafika.


Lakini masaa saba Dar-Arusha? nitakuwa nachelewa bana. Inabidi kina precission watutafutie special offers low season sasa!

Znz- Arusha (Fly540), ni $ 147, AU tSHS 220,000/=
Return ticket ni thsh 440,000/=
Proven info!
Jipange sawasawa Mkuu!

...pheeewww! bora salama.
Thanks again PJ.
 
Kwa anayejua, anisaidie (One-Way) fares za precission air toka miji ya;

Dar - Zbar

Zbar - Arusha

Arusha - Dar

...Wanayo website lakini haijakamilika,
Natanguliza shukrani.
Ninavyowafahamu mimi wana On-Line-Booking. Ukishawaambia unataka flight ipi, ya kwenda wapi na lini wanakujibu haraka tu. Wanakupa booking ya muda, bei, namna ya kulipa na deadline ya kulipa. Kama hujalipa by the deadline waliyokupa wanauza nafasi yako. Hawawezi kuweka nauli kwenye website kwa kuwa zinatofautiana kwa kutegemea flight na siku, jinsi ulivyo book na mambo mengine. Ndivyo usafiri wa ndege ulivyo duniani kote.
 
Ninavyowafahamu mimi wana On-Line-Booking. Ukishawaambia unataka flight ipi, ya kwenda wapi na lini wanakujibu haraka tu. Wanakupa booking ya muda, bei, namna ya kulipa na deadline ya kulipa. Kama hujalipa by the deadline waliyokupa wanauza nafasi yako. Hawawezi kuweka nauli kwenye website kwa kuwa zinatofautiana kwa kutegemea flight na siku, jinsi ulivyo book na mambo mengine. Ndivyo usafiri wa ndege ulivyo duniani kote.


Kwenye soko la foreign currency nadhani huwa linabadilika kama siyo kwa siku basi kila baada ya saa kadhaa. Sielewi iweje eti precision washindwe kuweka hii online eti kwa kusema nauli huwa zinabadilika. Ukiingia kwenye website ya Kenya Airways au Fly540 unaweza kupata fare hizo online ukienda kwenda search are na kujaza vipengele husika. Kama ni kubadilisha si ni ku-update tu kwenye site. Hivi kuna ulazima kweli wa kuwapigia simu, Je, kama simu zao zimezidiwa kama hizi customer service centers za makampuni ya simu! Ni kutotilia maanani tu katika suala zima la technology na namna ya kuwarahisishia watu huduma bila usumbufu.
 
Ninavyowafahamu mimi wana On-Line-Booking. Ukishawaambia unataka flight ipi, ya kwenda wapi na lini wanakujibu haraka tu. Wanakupa booking ya muda, bei, namna ya kulipa na deadline ya kulipa. Kama hujalipa by the deadline waliyokupa wanauza nafasi yako.

...poa kaka, nipatie hiyo link yao tofauti na hii; Precision Air Services Limited
ambayo hujibu haraka.

Hawawezi kuweka nauli kwenye website kwa kuwa zinatofautiana kwa kutegemea flight na siku, jinsi ulivyo book na mambo mengine. Ndivyo usafiri wa ndege ulivyo duniani kote.

...sikubaliani nawe kwa kauli yako hapo juu. Labda unazungumzia ATC na Precission Air tu, kwa Tz hata fly540 wameweka fares zao.
 
............Dar Arusha ni maili ngapi................kuna service providers wangapi............demand ya passengers ikoje............Yes kwa vipato vyetu vya ki-CCM............hiyo ni bei juu sana
 
............Dar Arusha ni maili ngapi................kuna service providers wangapi............demand ya passengers ikoje............Yes kwa vipato vyetu vya ki-CCM............hiyo ni bei juu sana

No wonder majibu yamekauka humu!
 
Back
Top Bottom