Premier League 08/09-Nini utabiri wako?

Premier League 08/09-Nini utabiri wako?

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
2,257
Reaction score
363
Nikiwa mshabiki wa Gunners mwaka huu naona excitement ya ligi iko mkiani kuliko ilivyo juu, you can understand why I guess! So far kuna timu kama 8 ambazo zinaweza kushuka daraja, na kwenye current bottom 3 ni vigumu kuamini kwamba Newcastle na Boro watashuka- na hapa ndipo utamu unapokuja, kama sio wao ni nani atashuka instead? Hawa WBA naamini habari yao imeisha japokuwa bado hawajushuka mathematically. My prediction- WBA, Newcastle and Hull.

Nirudi top of the table- Nani atatwaa ubingwa? I strongly believe its now between Man U and Livepool. I hate to say this lakini naamini Man U will retain the title, Liverpool will chase them till the end kama walivyofanya Chelsea last season lakini wataambulia patupu, ukweli ni kwamba Man U wamekuwa wakiandamwa na bahati, wanashinda games hata wakicheza vibaya-and you need this to become a champion.

Who will join Wolves in promotion to the PL? Utabiri wangu ni Birmingham watachukua automatic promotion iliyobaki na Reading watarudi through play offs wakishinda final yao kati yao na Sheffield United.
Je we unaonaje? Nakutakieni Usheikh Yahya mwema.
 
Utabiri wako ni mzuri na nimeupenda sana!kwanza nisije sahau kukupa pole kwa kichapo cha j'mosi tulichowapa.mimi timu 3 za mwisho hatutofautiani,Ni WBA,Newcastle na Hull city,Middle hatashuka daraja,ila nina utabiri wa kushangaza kidogo:

1 Chelsea 83
2 Liver 82
3 Man utd 79
4 Arsenal 75
Nimejaribu kupredict matokeo ya mechi zilizobaki na huo ndio mtazamo wangu.
18 Newcastle pts 37
19 Hull 36
20 WBA 27
Nasisitiza huo ni mtazamo wangu.
 
1 Chelsea 83
2 Liver 82
3 Man utd 79
4 Arsenal 75

Nasisitiza huo ni mtazamo wangu.

Naanza kupata hisia kwamba hapo kwenye hiyo top spot kila mtu atavutia kwenye timu yake, najua kuna Gunners pia watakuja kujiweka on top hapa!
 
1.Manchester united
2.Chesea
3.Liverpool
4.Arsenal
Naomba kuwasilisha Usheikh Yahya wangu.
 
natamani sanaaaa man aukose ubingwaa...yeyote akipata e walaa..

huko kwenye relegation namtamani new castle abaki...kwani
 
Bingwa Man Utd.

I think Newcastle will be another TOO GOOD but WENT DOWN team, the likes of Leeds United enzi za kina Alan Smith na West Ham enzi za kina Joe Cole. Wataungana na West Brom na Middo's.

NB;Bingwa Kuntankinte ameshawasilisha hapo juu.
 
1 Man utd 2 Chelsea 3 Liver 4 Arsenal tamka lingine kwa EPL huu ndiyo mpangilio siku ya mwisho wa ligi.
 
Bingwa Man Utd.
w

I hate with passion to see this happening, it will be so unfair kwa Man U kuchukua ubingwa mara 3 mfululizo! Lets hope kuwa kutolewa kwa Liverpool kwenye CL kutawapa muda zaidi wa kuconcentrate kwenye PL.
 
Sina tofauti na utabiri wa timu za juu lakini kushuka kwa Newcastle!!!!!. namuonea huruma Shearer alichukua hilo fupa.
 
Sina tofauti na utabiri wa timu za juu lakini kushuka kwa Newcastle!!!!!. namuonea huruma Shearer alichukua hilo fupa.

Dandaj unamuonea huruma ya nini? amekubali hii kazi for £1m na ni mechi nane tu, if he keeps them up he gets another £1m, its a win win situation for him, its like "alright, i'll send you down for £1m". He could have taken over earlier lakini kwa sababu zake binafsi alikuwa hataki.
 
Ngoja nitoe utabiri wangu
  1. Man U
  2. Liverpool
  3. Chelsea
  4. Arsenal
  5. Everton
  6. Aston Villa
  7. Spurs
  8. West Ham
  9. Fulham
  10. Man City
Nafasi ya 2 na 3 Chelsea na Liverpool wanaweza badilishanaTimu zitakazoshuka
Middlesbrough
Newcastle
West Bromwich Albion
 
Last edited:
Saturday, 25 April 2009
Hull v Liverpool
Monday, 04 May 2009
Aston Villa v Hull
Saturday, 09 May 2009
Hull v Stoke
Saturday, 16 May 2009
Bolton v Hull
Sunday, 24 May 2009
Hull v Man Utd

Ukiangalia ratiba hii inaonyesha kifo kwa Hull, licha ya kuanza ligi vizuri hata kushika nafasi ya 3 timu zikiwa zimecheza mechi mpaka 10, bado inarudi kule kule kwenye ligi yao.

Wakati huo huo Middles wana mechi moja tu ya kushinda dhidi ya Newcastle.

Sunday, 26 April 2009
Arsenal v Middlesbrough

Saturday, 02 May 2009
Middlesbrough v Man Utd

Monday, 11 May 2009
Newcastle v Middlesbrough

Saturday, 16 May 2009
Middlesbrough v Aston Villa
 
Hapa inaonyesha kwamba wote hamtaki LIVERPOOL ichukue ubingwa.
Sasa mtaona LIVERPOOL ndio bingwa wa mwaka huu.
 
Utabiri wako ni mzuri na nimeupenda sana!kwanza nisije sahau kukupa pole kwa kichapo cha j'mosi tulichowapa.mimi timu 3 za mwisho hatutofautiani,Ni WBA,Newcastle na Hull city,Middle hatashuka daraja,ila nina utabiri wa kushangaza kidogo:

1 Chelsea 83
2 Liver 82
3 Man utd 79
4 Arsenal 75
Nimejaribu kupredict matokeo ya mechi zilizobaki na huo ndio mtazamo wangu.
18 Newcastle pts 37
19 Hull 36
20 WBA 27
Nasisitiza huo ni mtazamo wangu.
Una maana katika point 21 Man U ataambulia pointi 8 ? basi una msimamo mkali sana
 
Utabiri wangu ni kwamba, kama Liverpool wakishinda leo, basi Manu watachemka mno (sitashangaa kama waki droo na Portsmouth). Hivyo kuwapa ubingwa Liverpool. Kama Liverpool wakifungwa au kudroo leo, basi Manu wanachukua tena. Vyovyote vile, sitegemei Manu kushinda mechi zote zilizobaki. Wanaweza wasifungwe, lakini watatoa kama droo mbili hivi.

Kwa hiyo:

1/2 - Manu/Liver (kutegemeana na mechi ya Liver na Arsen leo)
3 - Chelsea
4 - Arsenal
.
.
.
17 - Middl
18 - Hull
19 - WBA

Newcaste watasurvive.
 
Back
Top Bottom