Premier League 2024/25: Msimamo ulivyo hadi sasa!

Premier League 2024/25: Msimamo ulivyo hadi sasa!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wacha mpira uongee.

Screenshot_20250202-215919.png

Liverpool wapo pazuri kuchukua huu mwaka, unless waanze utoto.

BTW #COYG
 
Wacha mpira uongee.

View attachment 3222807
Liverpool wapo pazuri kuchukua huu mwaka, unless waanze utoto.

BTW #COYG
chelsea isingekuwa timu ya watoto wa Umitashumta, leo usiku wangepanda mpaka nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi.

Ila ndiyo hivyo tena. Timu imejaa vitoto vingi na ambavyo havina determination! Kocha wao mwenyewe naye ni walewale tu akina Sead Ramovich! ☹️
 
chelsea isingekuwa timu ya watoto wa Umitashumta, leo usiku wangepanda mpaka nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi.

Ila ndiyo hivyo tena. Timu imejaa vitoto vingi na ambavyo havina determination! Kocha wao mwenyewe naye ni walewale tu akina Sead Ramovich! ☹️
Vinashinda saloon kukarikiti nywele
 
Back
Top Bottom