Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna bahati Pep ana matatizo na ndoa yakeWacha mpira uongee.
View attachment 3222807
Liverpool wapo pazuri kuchukua huu mwaka, unless waanze utoto.
BTW #COYG
We shabikia tu Simba na Yanga..Bila shaka we Liva kuku
Acha kiherere wapi nimeandika sjui maana ya coyg?We shabikia tu Simba na Yanga..
Kama hujui maana ya "BTW #COYG"
chelsea isingekuwa timu ya watoto wa Umitashumta, leo usiku wangepanda mpaka nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi.Wacha mpira uongee.
View attachment 3222807
Liverpool wapo pazuri kuchukua huu mwaka, unless waanze utoto.
BTW #COYG
Vinashinda saloon kukarikiti nywelechelsea isingekuwa timu ya watoto wa Umitashumta, leo usiku wangepanda mpaka nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi.
Ila ndiyo hivyo tena. Timu imejaa vitoto vingi na ambavyo havina determination! Kocha wao mwenyewe naye ni walewale tu akina Sead Ramovich! ☹️