Mna bahati Pep ana matatizo na ndoa yakeWacha mpira uongee.
View attachment 3222807
Liverpool wapo pazuri kuchukua huu mwaka, unless waanze utoto.
BTW #COYG
We shabikia tu Simba na Yanga..Bila shaka we Liva kuku
Acha kiherere wapi nimeandika sjui maana ya coyg?We shabikia tu Simba na Yanga..
Kama hujui maana ya "BTW #COYG"
chelsea isingekuwa timu ya watoto wa Umitashumta, leo usiku wangepanda mpaka nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi.Wacha mpira uongee.
View attachment 3222807
Liverpool wapo pazuri kuchukua huu mwaka, unless waanze utoto.
BTW #COYG
Vinashinda saloon kukarikiti nywelechelsea isingekuwa timu ya watoto wa Umitashumta, leo usiku wangepanda mpaka nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi.
Ila ndiyo hivyo tena. Timu imejaa vitoto vingi na ambavyo havina determination! Kocha wao mwenyewe naye ni walewale tu akina Sead Ramovich! ☹️